Tahadhari kwa wachaga juu ya Coronavirus

Tahadhari kwa wachaga juu ya Coronavirus

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,334
Reaction score
2,463
Tanzania ina makabila mengi yenye tamaduni tofauti. Katika kungamua hizi tofauti tamaduni za wachaga zinawafanya wanakuwa kwenye hatari kubwa kutokana na coronavirus. Tamaduni hizo ni kama ifuatavyo;

KWENDA KIJIJINI. hii ndo risk kubwa watu kutoka mjini kupeleka corona vijijini

KUWA NA NYUMBA KIJIJINI. Wengi wa wachaga wana nyumba za kuishi huko vijijini hivyo watu kutoka mjini kwenda kuishi huko kwa nyumba zao na kueneza gonjwa.

UWEPO JUMUIYA ZA KATOLIKI. roma ipo moshi jumuiya zinafwatwa kwelikweli hivyo mkusanyiko hivyo kuenea kwa gonjwa

WAZEE WAPO VIJIJINI. Wengi waliopo vijijini ni wazee hivyo hatari kubwa zaidi

Kutokana na hatari hizo yabidi kuwekwa utaratibu wa self karantini kwa siku 14 kwa mtu yeyote anayetoka mjini. Pia kuwekwa check point kupima joto kwa wote wanaoingia mkoa huu.
 
Wachaga wako vizuri tayari wameshajiandaa kukabiliana nao
Tanzania ina makabila mengi yenye tamaduni tofauti. Katika kungamua hizi tofauti tamaduni za wachaga zinawafanya wanakuwa kwenye hatari kubwa kutokana na coronavirus. Tamaduni hizo ni kama ifuatavyo;

KWENDA KIJIJINI. hii ndo risk kubwa watu kutoka mjini kupeleka corona vijijini

KUWA NA NYUMBA KIJIJINI. Wengi wa wachaga wana nyumba za kuishi huko vijijini hivyo watu kutoka mjini kwenda kuishi huko kwa nyumba zao na kueneza gonjwa.

UWEPO JUMUIYA ZA KATOLIKI. roma ipo moshi jumuiya zinafwatwa kwelikweli hivyo mkusanyiko hivyo kuenea kwa gonjwa

WAZEE WAPO VIJIJINI. Wengi waliopo vijijini ni wazee hivyo hatari kubwa zaidi

Kutokana na hatari hizo yabidi kuwekwa utaratibu wa self karantini kwa siku 14 kwa mtu yeyote anayetoka mjini. Pia kuwekwa check point kupima joto kwa wote wanaoingia mkoa huu.
IMG-20200401-WA0005.jpeg
 
Siku hizi hata waislamu wana jumuiya.

Na uwepo wa jumuiya haihusiani na kabila moja.

Kwenye hizo jumuiya wachaga wanasali na makabila mengine mengi.

Kwenda kijijini wengi huwa wanaenda mwisho wa mwaka. Mpaka huo wakati ufike, corona itakuwa historia.

Na pengine itakuwa imeshafika kabla ya wao kwenda makwao. Kumbuka Corona imeanzia Arusha.

Arusha na Moshi ni pua na mdomo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilipoona Hadi watoto wa wafalme wanakufa na hii ngoma,kina Boris Johnson wa UK wanaugua,nimeiheshimu,,corona haitajali eti kwakuwa wewe Ni mwanajumuia mzuri,inafyagia tu
 
Siku hizi hata waislamu wana jumuiya.

Na uwepo wa jumuiya haihusiani na kabila moja.

Kwenye hizo jumuiya wachaga wanasali na makabila mengine mengi.

Kwenda kijijini wengi huwa wanaenda mwisho wa mwaka. Mpaka huo wakati ufike, corona itakuwa historia.

Na pengine itakuwa imeshafika kabla ya wao kwenda makwao. Kumbuka Corona imeanzia Arusha.

Arusha na Moshi ni pua na mdomo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hali itakapokuwa tete mjini wengi watataka kwenda vijijini kwani wana nyumba nzuri kama mjin
 
Kila mtu achukue tahadhari maana huu ugonjwa haujali kabila wala dini.
 
Back
Top Bottom