Ni kweli anachosema mdau. Kwani wameweka taratibu kuwa hulipwi mpaka ukamilishe order. Lakini ukikamilisha ndio mtihani unapoanza. Mara pesa hazijafika, mara tunasubiri hazina/donor etc. Mara nyingi utakuta pesa ambazo wangekulipa wametumia kwa matumizi yao ya ofisi na wakati mwingine siyo ya lazima. Hapa ni kuwashitaki tu ndio dawa. Ingawa ukifungulia mashtaka serikali ndio mpaka upate kibali toka kwa Attorney General na utoe notisi ya miezi 3. Hapo ukimaliza hiyo kesi hutegemei tena kupata order toka serikalini. Yaani we acha tu.watasemaje hela hakuna na tayari umeshawafanyia kazi yao? na wewe ulikubali vipi kuanza kazi bila kupewa hata advans?
na ni kweli hakuna au ndio mdudu wa ufisadi....!!
watasemaje hela hakuna na tayari umeshawafanyia kazi yao? na wewe ulikubali vipi kuanza kazi bila kupewa hata advans?
na ni kweli hakuna au ndio mdudu wa ufisadi....!!
Tatizo watendaji wengi (watumishi wa umma) ni wezi, wahujumu na mafisadi. ukienda TRA, Hazina, nk angalia kesi zilizo mahakamani hata ile inayohusisha hujuma shirika la UDA.Tatizo watu wamegeuza ofisi za umma kama viwe binafsi vya kuchuma mali kwa njia haramu.Mimi mwaka mmoja kwenye miaka ya 90,chupu chupu wilaya ya kisarawe inifanye nifirisike!Sio siri kufanya kazi na serikali ni ishu
Kuogopa huo usumbuf kuna network marketing nzuri ambazo unaweza kuifanya ukapata hela nzuri isiyo na longolongo, why all that? Pm to show you how
Ni kweli anachosema mdau. Kwani wameweka taratibu kuwa hulipwi mpaka ukamilishe order. Lakini ukikamilisha ndio mtihani unapoanza. Mara pesa hazijafika, mara tunasubiri hazina/donor etc. Mara nyingi utakuta pesa ambazo wangekulipa wametumia kwa matumizi yao ya ofisi na wakati mwingine siyo ya lazima. Hapa ni kuwashitaki tu ndio dawa. Ingawa ukifungulia mashtaka serikali ndio mpaka upate kibali toka kwa Attorney General na utoe notisi ya miezi 3. Hapo ukimaliza hiyo kesi hutegemei tena kupata order toka serikalini. Yaani we acha tu.
Wakati wa Rais wa awamu ya tatu. Ilikua mtu hawezi pewa order kama hana LPO ambayo pesa zake pia zipo. Hivyo ilipunguza kasi ya kuchelewa malipo. Lakini sasa hivi ni mtihani.
watasemaje hela hakuna na tayari umeshawafanyia kazi yao? na wewe ulikubali vipi kuanza kazi bila kupewa hata advans?
na ni kweli hakuna au ndio mdudu wa ufisadi....!!
Kufanya biashara na idara za serikali kuu na hata halmashauri is at your own risk,hawalipi kabisa,wanasema serikali haina hela,OC inauyopolekwa haitoshi!mambo yamebadilika sio kama zamani
siwezi kuificha ukitaka kuielewa fuata hii link hapa chin, its my personal website ambayo unaweza kupata sehemu ya kuazia Natural Health and Beauty