Tahadhari kwa wakazi wa bunju na msimbazi

Tahadhari kwa wakazi wa bunju na msimbazi

Nas Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
5,286
Reaction score
5,421
Mamlaka ya michezo Tanzania inapenda kuwatahadharisha wakazi wa maeneo ya bunju na msimbazi wajiandae kukabiliana na maafa yanayotarajiwa kutokea hapo kesho yatakayosababishwa na kimbunga cha YANGA,tukiwa kama serikali tunaomba wananchi wote kwa jumla kuandaa rambirambi na misaada kadhaa ili kuwafariji wenzetu mara baada ya mauti kuwafika mida ya saa kumi kesho,vikosi vya kusaidia wahanga azam,Lyon vimeshafika eneo la tukio tayari kwa kutoa msaada,ningependa kuwapa pole in advance wenzetu wa hapahapa fc,asanteni sana.
 
Mamlaka ya michezo Tanzania inapenda kuwatahadharisha wakazi wa maeneo ya bunju na msimbazi wajiandae kukabiliana na maafa yanayotarajiwa kutokea hapo kesho yatakayosababishwa na kimbunga cha YANGA,tukiwa kama serikali tunaomba wananchi wote kwa jumla kuandaa rambirambi na misaada kadhaa ili kuwafariji wenzetu mara baada ya mauti kuwafika mida ya saa kumi kesho,vikosi vya kusaidia wahanga azam,Lyon vimeshafika eneo la tukio tayari kwa kutoa msaada,ningependa kuwapa pole in advance wenzetu wa hapahapa fc,asanteni sana.
Mkuu ukinionea Sembo mwambie anahitajika,maana kashaanza kukimbia Jukwaani.
 
Natabiri atakaeshinda leo kwa kishindo ndie bingwa wa msimu huu.
 
Back
Top Bottom