Tahadhari kwa wale mnaojihusisha na utekaji wa watoto, mkono wa dola utawafikia tu na mtaishia kaburini

Tahadhari kwa wale mnaojihusisha na utekaji wa watoto, mkono wa dola utawafikia tu na mtaishia kaburini

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2020
Posts
4,437
Reaction score
13,836
Jeshi la polisi lina mapungufu mengi ambayo sina haja ya kuyataja. Upelelezi huwa unakwenda taratibu lalakini wahalifu watakamatwa tu.

Sasa kwa wewe mpumbavu uliyejihusisha / unayepanga kujihisisha na ujinga huu unaoendelea wa kuiba na kuteka watoto nikwambie kuwa utafikiwa tu.

Tena hata mlango wa mahakama hautouona, utapelekwa chemba utawataja wenzako wote kisha utafanyiwa appointment na Mwenyezi Mungu ili akakusamehe vizuri hukohuko in-person. Yaani ni 'pyu pyu' kisha wanasema "umejirusha toka kwenye gari yao"

Acheni ujinga huo mara moja!
 
Natoa maagizo kwa yeyote atakaye kamtwa anaiba mtoto, auwawe mara moja.
 
Polisi wanateka watu wazima,
Wahuni wanateka watoto
 
Hili Popo bawa la kukamata watoto au kuiba ndio wale akina panya road wamekuja na style nyengine lakini punda ndio yule yule wabebadilisha soji tu,
 
Back
Top Bottom