Tahadhari kwa walimu watarajiwa

Tahadhari kwa walimu watarajiwa

mumak

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2013
Posts
1,069
Reaction score
668
Ningependa kuwapa tahadhari walimu watarajiwa kuna watu wanajifanya wanafanya kazi wizara ya elimu na wengine tamisemi hao watu wanajifanya wanaweza kuwasaidia watu kuwapangia vituo vya kazi sehemu unayoipenda na kukutaka uwape pesa mfano kuna dada mmoja anaitwa rebeca ni miongoni mwa matapeli hao hivyo nafanya utaratibu nipate picha yake ili niwawekee hapa jf ameshawaliza marafiki zangu wengi tu kwahiyo chukueni tahadhari mapema,
 
Back
Top Bottom