Tahadhari kwa Wanaobeti 22bet

ningekusikiliza leo yasingenikuta yani haiwezekani kutoa wala kuweka ela 22bet kwa sasa, na haijulikani tatizo litaisha lini
Duh nina mkeka wangu kwa hawa watu unasubiri game moja tu ina maana nikishinda sitaweza kuvuta kimango changu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…