Tahadhari kwa wanawake walioolewa

Mbona wanaume hawa wanataka kututia wazimu; sasa mtu uweke house boy eti kisa mumeo asipate vishawishi; at the same time ma house boy these days wanabaka watoto si wa kike wala wa kiume (cameroon style)

Sasa mama chagua lipi bora; house girl atembee na mumeo (afterall mumeo kama ametembea na h/girl cheating ni ugonjwa wake hataacha) au house boy akuharibie watoto???
 

khaaaaa,....huyu shemeji nae vipi?



kabisa bana,....yaani mimi nimekaa sebuleni, yeye anapoteza zaidi ya saa nzima jikoni, anapika nini kisichowiva?


Hapo kwenye mfano wa huyo kaka umenifanya niogope kwamba huyu kaka/shemeji anaweza kuleta mageuzi/mapinduzi. Hata sisi wanaume inabidi tujiangalie sana. Si wanawake tu
Shukran kwa mfano mzuri

...umeona ee? hahahah...dahhh amenitishia amani hata mimi huyo...
ndugu wa namna hiyo hafai kuishi na mimi.
 
unajua kuna kitu kimoja umejaaliwa kuwa nacho, labda mwenyewe hujui tu............... una utambuzi wa hali ya juu sana..
yaani nanufaika sana na michango yako humu jf...............
ahsante kwa kutupa ilmu ya bure..................

Mtambuzi I am short of words....

This post has been the first post in JF kunitoa machozi.
Ubarikiwe AshaDii.


For the first time it has made me wish ningekua nawe hapo nione machozi yako.... Hayo machozi yako yaniambie story the story behind.... One thing i am sure ni bittersweet, ningetamani nikuone na nikuulize "MJ1 you have a great heart but you seem to be always scared of Love... Why?" BUT then the way your eyes are now... the extent ya machozi yako sasa, the expression in your face would have told me everything.... MJ1 daima kumbatia Kupenda dearest.... Daima! Mradi usipende kujinga....

I am humbled dear na NASHUKURU you have told me for you would have kept quiet. Thank you.
 
Hapa ndio ule usemi wa "Abiria chunga mzigo wako" una-apply
 

Nilidhani ni mume wangu tu ndo ana hiyo tabia; kweli napata tabu sana kufanya kazi za jikoni kwa kuwa he always want me by his side.

kabisa bana,....yaani mimi nimekaa sebuleni, yeye anapoteza zaidi ya saa nzima jikoni, anapika nini kisichowiva?
 
Nimependa michango yenu,na nimeona ni bora namimi niingie humo ndani,niwe mmoja wenu katika gurudumu la kusaidiana kuielimisha jamii kwa namna moja au nyingine.HONGERENI KWA KAZI NZURI SANA.Kuna mambo mengi yanayovutia humu,ila toka nimeanza kuingia kwenye JF,Zile sheria kumi za nyumba ndogo ni balaa
 
Usilie dada, ndio maisha hayo...tumeambiwa tulivokuwa watoto "kua uyaone"
Na kweli Sherrif nimekuwa na NIMEYAONA. Kwa maisha niliyoishi, nina imani kuwa kwa maisha niliyoishi MJ1 mie, nineyaona na ninatakiwa niwe NIMEJIFUNZA otherwise nitastahili kuitwa SIKIO LA KUFA.
 

AshaDii........................acha tu!
Barikiwa
 

hhhahahhaha, ati menopause? acha visa bana..
mwj1....mke/mume ukimchunga sana atakuletea vituko mpaka uone june/july...(pepo za kusi na kaskazi)
Muhimu kujipenda mwenyewe, kwa umri wetu huu ukijitia kuubeba wazimu wa mwenzio unatafuta kujizeesha
tu.

chukulia mfano umelala chumbani na mumeo, ati saa nane za usiku unamsikia anajisogeza pembeni ya kitanda,
kisha huyoo ananyata.... ...anafungua mlango wa chumba anatoka... unamsubiria weee, kumbe mwenzio kaenda chumba cha housegirl kupiga mbizi...utamlaumu? hakikisha akirudi mwambie akakoge janaba lake kwanza,
huna haja ya kugombana nae bana..."never argue with a fool" chizi sio lazima avae mfuko ya rambo kichwani.

vuta shuka ulale.
 

Nilidhani ni mume wangu tu ndo ana hiyo tabia; kweli napata tabu sana kufanya kazi za jikoni kwa kuwa he always want me by his side.

kabisa bana,....yaani mimi nimekaa sebuleni, yeye anapoteza zaidi ya saa nzima jikoni, anapika nini kisichowiva?

nyumba kubwa Da mkubwa wangu all I can say and beg you ni kuwa shika sana ulicho nacho, kienzi na kuappreciate kwa sababu what you've got Big Sisy its a Pearl..ni lulu mpendwa itunze na kuienzi am telling you.

Wewe ni kati ya wale wanawake mliozaliwa na Bahati zenu humu duniani, kumbuka kumshukuru MUNGU wako dada yangu
 
Darling..........and what about fukuto ulipatalo moyoni?! Kwa sababu tatizo si janaba peke yake, ni lile jeraha alokuachia baada ya hapo! ayiiii jamani kina baba please tuoneeni huruma jamani ah, kuwapenda isiwe kosa jamani ah!

Naomba niwaache kwelye hii mada, am not myself. samahanini!
 
Reactions: Mbu
Huo ni ukweli mchungu!

Hili la kutembea na mahouse girl hasa katika nyakati hizi za HIV/AIDS limeleta maafa kwa baadhi ya familia. Kuna familia moja baba na watoto wake wa kiume wawili walitembea na house girl wao katika nyakati tofauti. Kwa bahati mbaya mama mwenye nyumba akaja kufariki (watu walisema kwa 'ngoma'!), mbaya zaidi baba akaamua kuoa huyo house girl...ni kisa ambacho kila nikikumbuka machozi huwa yananilengalenga!
 
wee binti mi siko hivyo!

Then agree to disagree, be fair na umkane mtambuzi kwa justifications zake!! Kubali kuwa wanaume wanaofanya hivo ni wapuuzi na wanyanyasaji!! So tukiajili mahause boy, na wenyewe mtawashikisha ukuta kwa sababu wanafanya kazi zote?? Ngoja niishie hapa nibakize comment nyingine!
 
Umesomeka Honey.



Hujalikoroga mpenzi. Umefafanua vizuri nimekuelewa. Aksante ayiii mie hizi makitu bana ah zinanikatisha tamaa ya kupenda kwa kweli ayii

wala usiogope mwanangu........... nakujua`wewe, unajua kuchagua wala huwezi kupata kicheche..............
 

...Umeona ee? mwj1 aonekana kama ni mtu aliye delay grievances zake kwa muda mrefu, na sasa reality ina take place.
lia mama, it's ok to cry, na wala kulia sio alama ya udhaifu...acha machozi yakuchuruzike...umejaaliwa machozi yapoze machungu ya moyo...


Nilidhani ni mume wangu tu ndo ana hiyo tabia; kweli napata tabu sana kufanya kazi za jikoni kwa kuwa he always want me by his side.

kabisa bana,....yaani mimi nimekaa sebuleni, yeye anapoteza zaidi ya saa nzima jikoni, anapika nini kisichowiva?

...nyumba kubwa, nitajie mlo unaopikwa zaidi ya saa nzima kiasi cha wewe kung'ang'ana jikoni badala ya kuketi pembeni
yangu kwenye sofa. Labda usingizie ati ulikuwa busy kuwasha jiko la mkaa, na mkaa wenyewe mbichi...otherwise, lazima mjiwekee muda wa kuandaa mlo na kupika, na muda wa kukaa sebuleni na waume zenu.

Binafsi nachukia kukaa peke yangu sebuleni...aaarrrgghhh!
 

mnh, usha pesonalize tatizo hili pia maskini...pheeewww...
mwj1, kuna kipindi maishani unahitajika kujifunza "kukinai"...

nadhani mwenzangu hujafikia huko...
mwenzio nishakinai haya mapenzi...nishajifunza hata nifanyeje,
if it meant to fail it will,....mi binadamu ndivyo ilivyo!...
Jikubalishe wewe ndio 1st priority maishani mwako...

..haya mambo ya kumfanya mwenzio ndio 1st priority,
tutaishia kufanywa an option tu.

back to topik
,
house girls...!
 
Kazi za jikoni ni kazi; na usizidharau kuwa zinahitaji saa moja; Mimi ni mmoja ya watu ambao naweza kuwa busy kuanzia asubuhi mpaka jioni ukizingatia most of week days niko job. Kuna kufua; kupika, kupanga etc. BUT nafanya hivyo hubby akiwa ametoka kwani akiwepo anataka niwe pembeni yake mda wote tupige story. Na kwa kuwa hiyo ndo kitu yeye roho inataka, why not? BUT napenda kufanya kazi za nyumbani kwangu when it is convenient. (when he is absent)


 
Reactions: Mbu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…