Tahadhari kwa watumiaji wa Mikopo ya Tigo Tanzania - Bustisha Plus, Riba imepandishwa kimya kimya 30% BOT is watching!

Tahadhari kwa watumiaji wa Mikopo ya Tigo Tanzania - Bustisha Plus, Riba imepandishwa kimya kimya 30% BOT is watching!

JITU BANDIA

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2023
Posts
2,868
Reaction score
6,453
Napenda kudecrale interest, Binafsi nilikuwa mmoja wa watumiaji wa hii mikopo, Kwa mkopo wa 83,000 ndani ya miezi mitatu iliyopita, marejesho yalikuwa ni 93,000

Nimekopa kiasi hiki mara tatu na kuilipa ndani ya muda wa mwezi mmoja on time pasipo kuvuka muda huo

Cha ajabu ni siku ya jana nikiwa na uhitaji wa kiasi hichohicho, huku Nikitarajia kurudisha kiasi kilekile nikijua riba ni ileile ya siku zote,

Nikafata procedure za siku zote, na kupewa mkopo, Baada ya Confirmation message kuingia na kuisoma kuwa napaswa kulipa Tsh 96,000! ndipo kuona ya kuwa marejesho yameongezeka kwa almost 36%!! Pasipo kumtaarifu mteja!

Hii sii sawa na Bot wanaangalia Uhuni wa nana hii huku mlaji wa mwisho (mteja) akiendelea kuumia

BOT wao pia kama waratibu wa hizi sekta za kifedha, wapo na ni kama wanaangalia tu huu uhuni wa namna hii unaofanywa na BIG FISH Kama tigo na wenzao wa mitandao ya kufanana na huo, Waache hizi double standards

Wanadiriki kufungia vikampuni vidogo vidogo mitandaoni ,na kuyaacha HAYA MADEGE MAKUBWA MAKUBWA KAUSHA DAMU!

Nikiri tu,nilikuwa mtumiaji wa mkopo huu umekuwa ukinisaidia changamoto ndogondogo niwapo safarini...

Nipende kuwatakia maisha mema na Kwaheri Tigo na NIVUSHE PLUS yao...

Nilikuwa mkopaji na mlipaji mzuri na kwa wakati...LAKINI KWA HILI!..MTANISAMEHE, SITAWALIPA!
 

Attachments

  • Screenshot_20241125_021416_Messages.jpg
    Screenshot_20241125_021416_Messages.jpg
    218.7 KB · Views: 14
  • Screenshot_20241125_021358_Messages.jpg
    Screenshot_20241125_021358_Messages.jpg
    253.2 KB · Views: 13
Napenda kudecrale interest, Binafsi nilikuwa mmoja wa watumiaji wa hii mikopo, Kwa mkopo wa 83,000 ndani ya miezi mitatu iliyopita, marejesho yalikuwa ni 93,000

Nimekopa kiasi hiki mara tatu na kuilipa ndani ya muda wa mwezi mmoja on time pasipo kuvuka muda huo

Cha ajabu ni siku ya jana nikiwa na uhitaji wa kiasi hichohicho, huku Nikitarajia kurudisha kiasi kilekile nikijua riba ni ileile ya siku zote,

Nikafata procedure za siku zote, na kupewa mkopo, Baada ya Confirmation message kuingia na kuisoma kuwa napaswa kulipa Tsh 96,000! ndipo kuona ya kuwa marejesho yameongezeka kwa almost 36%!! Pasipo kumtaarifu mteja!

Hii sii sawa na Bot wanaangalia Uhuni wa nana hii huku mlaji wa mwisho (mteja) akiendelea kuumia

BOT wao pia kama waratibu wa hizi sekta za kifedha, wapo na ni kama wanaangalia tu huu uhuni wa namna hii unaofanywa na BIG FISH Kama tigo na wenzao wa mitandao ya kufanana na huo, Waache hizi double standards

Wanadiriki kufungia vikampuni vidogo vidogo mitandaoni ,na kuyaacha HAYA MADEGE MAKUBWA MAKUBWA KAUSHA DAMU!

Nikiri tu,nilikuwa mtumiaji wa mkopo huu umekuwa ukinisaidia changamoto ndogondogo niwapo safarini...

Nipende kuwatakia maisha mema na Kwaheri Tigo na NIVUSHE PLUS yao...

Nilikuwa mkopaji na mlipaji mzuri na kwa wakati...LAKINI KWA HILI!..MTANISAMEHE, SITAWALIPA!
Kazi kutupondea wasomi kumbe kichwani weupe shule muhimu sana tupeleke watoto shule wajue hesabu....ebu tafuta mwalimu akufundishe somo la kutafuta asilimia.

Ngoja nikusaidie

96000 - 83000 = 13000

(13000 ÷ 96000) × 100% = 13.54%

Hiyo ndiyo riba ambayo mishipa ya shingo imekutoka kuandika uzi saa tisa kasoro za usiku....
 
NIliombaa 83000 nikapewa 60,000 nilipe 83,000. Hadi leo sijawalpa
Mimi nilikuwa mlipaji wao mzuri kaka, nilianza na 10,000 na kurejesha 11,300

Hii ya sasa ilikua nikichukua 83,000 nirudishe 93,000 waanze kunipa laki

Wameni- disappoint sana
 
Kazi kutupondea wasomi kumbe kichwani weupe shule muhimu sana tupeleke watoto shule wajue hesabu....ebu tafuta mwalimu akufundishe somo la kutafuta asilimia.

Ngoja nikusaidie

96000 - 83000 = 13000

(13000 ÷ 96000) × 100% = 13.54%

Hiyo ndiyo riba ambayo mishipa ya shingo imekutoka kuandika uzi saa tisa kasoro za usiku....
Kichwani umejaza upumbavu!

Hata huelewi ili post yako iweze kutrend ama to get noticed fast...unatakiwa kufanya nini

Hujui kuwa kinachouza gazetti ni kichwa cha habari!?... ama huelewi waliosema "don't judge a book by reading its cover" walimaanisha nini?

Usiponielewa hapo...wazazi wako watakuwa walipeleka ng'ombe shuleni!!!
 
Niliposema humu juzi,kuhusu hili ongezeko la ghafla la mikopo ya nivusheve plus.....kumbe Tigo wamebadili jina na kuongeza Riba mara dufu....

Wana Yas kazi mnayo!
 

Attachments

  • Screenshot_20241126_170244_Chrome.jpg
    Screenshot_20241126_170244_Chrome.jpg
    369.8 KB · Views: 9
Back
Top Bottom