Tahadhari: Makonda aweke bayana waasisi wa wazo la Land Rover Festival isije ikatokea akajizolea misifa huku technocrats wa hilo wazo wakaachwa bila

Tahadhari: Makonda aweke bayana waasisi wa wazo la Land Rover Festival isije ikatokea akajizolea misifa huku technocrats wa hilo wazo wakaachwa bila

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Kwenye jamii za watu hapakosi viongozi wapenda misifa wasiojali kuthamini bidii na akili za wasaidizi wao, nimewiwa kutoa tahadhari kwa Paul Makonda a.k.a DAB Kolomije, imekuwa kama utamaduni viongozi wenye hulka za misifa misifa kuwasahau wabunifu na wachakata mawazo mazuri yanayopata vibes kwenye jamii na Taifa kwa ujumla wake.

Kwa hio Ndugu Makonda azingatie hilo akiitisha press aweke bayana chemichemi ya hilo wazo zuri and those guys wawe credited kwa namna stahiki na inayofaa na yenye tija.

Nawasilisha

Wadiz
 
Hilo sio wazo la mtu, na wala sio kitu kigeni hapa duniani.

Wajerumani walifanya same 2018.

By 2100, elon na the co wanaweza wakafanya tesla Festival sayari ya Mars.
 
Back
Top Bottom