Tahadhari na tigo kwa mnaoomba kazi...............

Tahadhari na tigo kwa mnaoomba kazi...............

Kintiku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2011
Posts
617
Reaction score
321
Kama unaomba kazi mahali nakushauri usiweke namba yako ya Tigo kwenye barua yako au CV kama namba ya mawasiliano utakosa kazi. Nimeshuhudia live jamaa watano wanasema hawakupigiwa simu kutaarifiwa kuhusu usaili. Lakini ukweli ni kuwa walipigiwa simu, ila wote simu zao zilikuwa zinasema hazipatikani. Wao wanaseme hawajahi kuzima simu, maana wanategemea kuitwa kwa usaili sehemu mbalimbali.

Hivi TCRA wansemaje kuhusu tabia ya Tigo/washirika wao kumtumia mtu meseji 20 kila siku kuhusu promosheni n.k.
 
Kusema ukweli hii hali inakera sana, Ukimpigia simu mtu wa tgo ikisema haipatikani jaribu kurudia tena utaona badae inaita. Pia nyingi ziko kwenye voice mail na ukiwauliza wenye simu wanasema hawajaweak voice mail. Inaonyesha TIGO wameactivate hiyo huduma wenyewe.
 
HICHO KITU NI KWELI KABISA...Tigo wapuuzi sana, mwanzo mimi nlidhani tatizo ni simu yangu.
Nkabadili simu, kumbe tatizo ni mtandao wao.
Mtu anakwambia nimekupigia ukawa hupatikani, kumbe ni li mtandao libovu..shhh''akskskgsgfsausf kabisa hawa tigo.
 
Sio tigo ppeke yao kwani mitandao mingi inaonyesha kwamba
kuna tatizo la network na hivyo inaleta shida hasa sisi mishin town.
 
airtel nayo ni hivyo hivyo, sijui ni kwanini hawa tcra hawaweki standards kwa hawa service providers
 
Duh,hilo nalo neno!Watu tunasubiri tuitwe interview kumbe hatupatikani !
 
tiGo is a whole bucket of wet bullcrap, won't recommend it to anyone!!!
 
mama we! possible jamni mtu inawezekana umepigiwa cm kumbe hupatkani! du! tgo wamezdi bora hata mitandao mengine! kwanza cku iz ukieka ka mia tano umempigia mtu dakika tu kahela kamekwisha! lol
 
Would you recommend Voda? Or you are too upset with Mwammy's splurging in Dubai?

Voda is cool dawg, so is Airtel. As for "A-lists" convo, you know my steelo, am not the one to hate the playa!!
 
Voda is cool dawg, so is Airtel. As for "A-lists" convo, you know my steelo, am not the one to hate the playa!!

That's what's up!

Hela zako mwenyewe..ukizitumia wengine wanakasirika! Wapi na wapi!
 
Kweli kabisaaa tigo haifai ive bn using tigo for over 6 yrs lakin ths tym thr too much nahamaaa,,!na ma.voice mail yao,,ma.xtreem sms yao kwel hawaelewek
 
hapa mleta mada alikuwa ana ujumbe tofauti ili kuufikisha akatishia watu.
 
Hata sisi wengine tulionunua line za tigo kwa ajili ya matumizi ya tigo-pesa tu tunapata shida sana. Mara nyingi it takes too long kukamilisha huduma ya tigo-pesa. tigo management must do something about this anomaly.
 
tiGO imekua tiGO imepanuka Kazi ni Kwako Kutwanga Kote Kote au Kama unaweza Hamia tu
 
Ama kweli tigo inaweza weka kauzibe? Lakini nina wasiwasi na airtel pia!
 
Back
Top Bottom