Olaigwanani lang
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 547
- 181
Kwa hari ya kawaida tu, siyo kila maoni yataingizwa kwenye katiba, hiyo itakuwa siyo katiba bali uchafu! Cha msingi na cha muhimu kujiuliza, ni je, maoni ambayo wengi wanategemea kuwepo yatakuwepo? na kama hatakuwepo, basi wakati wa kupiga kura ya maoni ni vizuir kuitumia nafasi hiyo!
cdm wako tayari kuikubali katiba yoyote ili mradi itaruhusu watoto kugombea urais