Sidhani kama hii mada ishawai letwa hapa..ila kuna wakenya flani wapo mjini dar saizi wameshaanza kwenda na mikoani wanajifanya wao ni madokta bingwa wanakimashine chao actually ni laptop.ukipima inakuletea magonjwa na matatizo uliyonayo mwili mzima actually its all a fake.utaambiwa una kisukari.ugonjwa wa ini.figo.ni matatizo lukuki ya uongo...wanapima bure au wanakuambia utoe gharama isiyozidi 50tzs kwa full body checkup.wakisha kujaza presha kua unaumwa sana ila wewe hujijui hapo ndo wanakutajia dawa zao tzs 200000 kwa magonjwa yote.now they are located at karume na kariakoo .becarefull guys you have been warned