Tahadhari: Tembo ni hatari sana

Tahadhari: Tembo ni hatari sana

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
1643700233761.png

Kwa wale tunaosafiri sana huko maporini tujue kuwa Tembo akiwa amechokozwa au kapoteza mtoto wake anakuwa na hasira sana.

1. Tembo anakimbia sana kuliko binadamu, speed yake 40 km/hr
2. Tembo hategemei sana kuona yeye ananusa zaidi
3. Ukimuona Tembo kaa kimya
4. Uhai ni muhimu kuliko kilimo
5. Tembo hapendi pilipili
 
Kwa wale tunaosafiri Sana huko maporini tujue kuwa Tembo akiwa amechokozwa au kapoteza mtoto wake anakuwa na hasira sana.
1. Tembo anakimbia Sana kuliko binadamu, speed yake 80 km/hr
2. Tembo hategemei Sana kuona yeye ananusa zaidi
3. Ukimuona Tembo kaa kimya
4. Uhai NI muhimu kuliko kilimo
5. Tembo hapendi pilipili
So kujikinga na tembo tujipake 🌶️🌶️🌶️nimefanya hitimisho!
Uko wapi na kilikukuta nini??😄😁 hizi siyo mada zako
 
Kwa wale tunaosafiri Sana huko maporini tujue kuwa Tembo akiwa amechokozwa au kapoteza mtoto wake anakuwa na hasira sana.

1. Tembo anakimbia Sana kuliko binadamu, speed yake 80 km/hr
2. Tembo hategemei Sana kuona yeye ananusa zaidi
3. Ukimuona Tembo kaa kimya
4. Uhai NI muhimu kuliko kilimo
5. Tembo hapendi pilipili
Tunaotembea porini tubebe pilipili.
 
tembo gani anaogopa pilipili, Harmonize?
Huu ndo ujuaji kwenye mambo ambayo hujui. Wakulima wengi tu wanachoma pilipili ili kuwakimbiza tembo wasikae karibu na maeneo yao maana wanaharibu mazao.
 
Niko southern Huku namtumbo/Tunduru nimemuona Tembo juzi juzi aisee tembo ni mkubwa kishenzu
Mboga hiyo...sasa hivi utasikia wamekula mahindi mara wamehamia Kula mpunga Malinyi!
Hao wakulima huwa tunapanda kwenye miti kisha tunawapigia makelele ya makopo, Mbigili Dakawa hiyo, aisee utafutaji Una mengi, kisha mmaasai anakuja na mboga eti Ile mazao mkulima aliyolinga against tembo!😀😁
 
1. Tembo anakimbia sana kuliko binadamu, speed yake 80 km/hr
2. Tembo hategemei sana kuona yeye ananusa zaidi
3. Ukimuona Tembo kaa kimya
4. Uhai ni muhimu kuliko kilimo
5. Tembo hapendi pilipili
Kwa hesabu za logic unapopanda mazao shambani zungushia pilipili pembeni kwa usalama

Mtaalamu wetu je nikipanda matikiti na pilipili uamuzi wa tembo huwa vipi?
 
So kujikinga na tembo tujipake [emoji2420][emoji2420][emoji2420]nimefanya hitimisho!
Uko wapi na kilikukuta nini??[emoji1][emoji16] hizi siyo mada zako
Kamsifia Tembo kamnyea ukiona hivyo[emoji1787]
 
Kwa hesabu za logic unapopanda mazao shambani zungushia pilipili pembeni kwa usalama

Mtaalamu wetu je nikipanda matikiti na pilipili uamuzi wa tembo huwa vipi?
Aisee hii logic ni ya kujaribu maboga na pikipiki, tikiti na pilipili waweza Kula hasara international, unajikuta umekuwa case study World Bank😁😄
 
Tunaotembea porini tubebe pilipili.
Huu ndo ujuaji kwenye mambo ambayo hujui. Wakulima wengi tu wanachoma pilipili ili kuwakimbiza tembo wasikae karibu na maeneo yao maana wanaharibu mazao.



Hawachomi. Inashauriwa kupanda pilipili kuzunguka shamba au kuweka mizinga ya nyuki. Kumbuka Tembo ni mnyama kundi la mamalia, huisi ukali/muwasho wa pilipili.
 

Kwa wale tunaosafiri sana huko maporini tujue kuwa Tembo akiwa amechokozwa au kapoteza mtoto wake anakuwa na hasira sana.

1. Tembo anakimbia sana kuliko binadamu, speed yake 80 km/hr
2. Tembo hategemei sana kuona yeye ananusa zaidi
3. Ukimuona Tembo kaa kimya
4. Uhai ni muhimu kuliko kilimo
5. Tembo hapendi pilipili
speed ya tembo 80 km/hr ? kama umekosea bahati mbaya lekebisha wakwetu.
 
Back
Top Bottom