benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa ya ubungo, anawatangazia wananchi wote wa manispaa ya ubungo kuwa katika mkoa wa dar es salaam kuna mlipuko wa ugonjjwa wa kuharisha na kutapika.
Hivyo anawaomba wananchi wote kuchukua tahadhari kwa kufanya yafuatayo
1. Epuka kunywa maji yasiyochemshwa au yasiyowekwa dawa ya kutibu
2. Kula vyakula vya moto
3. Epuka ulaji holela wa vyakula vinavyoandaliwa kwenye mazingira hatarishi
4. Hakikisha unanawa maji tiririka na sabuni mara kwa mara
5. Epuka utiririshaji maji taka maeneo mbalimbali kuna wagonjwa wenye magonjwa ya kuharisha na kutapika wafike katika kituo cha afya kilichopo karibu
7. Epuka mikusanyiko isiyokuwa ya lazima ujumbe huu uwafikie wananchi wote na taasisi zote za serikali na binafsi kama mashuleni, vyuoni, makanisani, misikitini na maeneo yote yenye mikusanyiko
Hivyo anawaomba wananchi wote kuchukua tahadhari kwa kufanya yafuatayo
1. Epuka kunywa maji yasiyochemshwa au yasiyowekwa dawa ya kutibu
2. Kula vyakula vya moto
3. Epuka ulaji holela wa vyakula vinavyoandaliwa kwenye mazingira hatarishi
4. Hakikisha unanawa maji tiririka na sabuni mara kwa mara
5. Epuka utiririshaji maji taka maeneo mbalimbali kuna wagonjwa wenye magonjwa ya kuharisha na kutapika wafike katika kituo cha afya kilichopo karibu
7. Epuka mikusanyiko isiyokuwa ya lazima ujumbe huu uwafikie wananchi wote na taasisi zote za serikali na binafsi kama mashuleni, vyuoni, makanisani, misikitini na maeneo yote yenye mikusanyiko