#COVID19 Tahadhari: Ulaji wa mchele mbichi una madhara kiafya

#COVID19 Tahadhari: Ulaji wa mchele mbichi una madhara kiafya

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210408_133734_979.jpg


Mchele mbichi una Bakteria hatari wa Bacillus Cereus ambao husababisha sumu ya chakula 'food poisoning'. Vilevile una misombo kadhaa ambayo husababisha matatizo katika hatua mmeng'enyo wa chakula. Lectini, aina ya protini ambayo hupatikana katika mchele huo hupunguza uwezo wa mwili kunyonya virutubishi

Hamu ya kula mchele mbichi inaweza kuwa ni ishara ya 'Pica' matatizo ya kisaikolojia yanayopelekea kupoteza nywele, maumivu ya tumbo, uchovu na upungufu wa anemia ya chuma. Inashauriwa kula mchele uliopikwa "wali" maana una virutubisho zaidi kuliko mchele mbichi
 
Mchele mbichi una Bakteria hatari wa Bacillus Cereus ambao husababisha sumu ya chakula 'food poisoning'. Vilevile una misombo kadhaa ambayo husababisha matatizo katika hatua mmeng'enyo wa chakula. Lectini, aina ya protini ambayo hupatikana katika mchele huo hupunguza uwezo wa mwili kunyonya virutubishi

Hamu ya kula mchele mbichi inaweza kuwa ni ishara ya 'Pica' matatizo ya kisaikolojia yanayopelekea kupoteza nywele, maumivu ya tumbo, uchovu na upungufu wa anemia ya chuma. Inashauriwa kula mchele uliopikwa "wali" maana una virutubisho zaidi kuliko mchele mbichiView attachment 1746566
Nilikuwa najiuliza iki kipara nimekipata wap sahiz nmeelewa.
 
Kuna mtu ameshakuwa addicted..zaidi ya miaka 20..anakula robo kilo kwa siku..

Na ana stress mno hii ni kamaanajipoozea..
 
Sasa ungetuambia na dawa au njia zs kufanya ili waache...
 
View attachment 1746566

Mchele mbichi una Bakteria hatari wa Bacillus Cereus ambao husababisha sumu ya chakula 'food poisoning'. Vilevile una misombo kadhaa ambayo husababisha matatizo katika hatua mmeng'enyo wa chakula. Lectini, aina ya protini ambayo hupatikana katika mchele huo hupunguza uwezo wa mwili kunyonya virutubishi

Hamu ya kula mchele mbichi inaweza kuwa ni ishara ya 'Pica' matatizo ya kisaikolojia yanayopelekea kupoteza nywele, maumivu ya tumbo, uchovu na upungufu wa anemia ya chuma. Inashauriwa kula mchele uliopikwa "wali" maana una virutubisho zaidi kuliko mchele mbichi
Na mihogo mibichi pia ni hatari zaidi

Potential toxicity. Cassava roots, peels and leaves should not be consumed raw because they contain two cyanogenic glucosides, linamarin and lotaustralin. These are decomposed by linamarase, a naturally occurring enzyme in cassava, liberating hydrogen cyanide (HCN).
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom