Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejaribu zaidi ya 3 naona inagoma nikajisema kutakuwa na shida.Kama unalipa malipo ya serikali kwa leo, ni bora utumie bank kuliko mobile money, ukilipa unakatwa na malipo yako hayafiki taasisi inayo husika.
SIYO KWELI MALIPO YANAENDA MIMI NIMEFANYA MENGI TU NA YAMEENDA NA KAZI INAENDELEA KAMA KAWAIDAKama unalipa malipo ya serikali kwa leo, ni bora utumie bank kuliko mobile money, ukilipa unakatwa na malipo yako hayafiki taasisi inayo husika.
wamenikata baada ya kufanya miamala ilanashukuru nimefanikiwa kurudisha hela kwenye akaunti yanguKama unalipa malipo ya serikali kwa leo, ni bora utumie bank kuliko mobile money, ukilipa unakatwa na malipo yako hayafiki taasisi inayo husika.
Labda kwa baadhi Ya Mitandao. Kwa Airtel nimetumia Haijakubali.SIYO KWELI MALIPO YANAENDA MIMI NIMEFANYA MENGI TU NA YAMEENDA NA KAZI INAENDELEA KAMA KAWAIDA
Hivi ikiwa inawezekana kwako inakuwa inawezekana kwa wote?SIYO KWELI MALIPO YANAENDA MIMI NIMEFANYA MENGI TU NA YAMEENDA NA KAZI INAENDELEA KAMA KAWAIDA
Ulifanyaje mkuu?wamenikata baada ya kufanya miamala ilanashukuru nimefanikiwa kurudisha hela kwenye akaunti yangu
Nimejaribu zaidi ya 3 naona inagoma nikajisema kutakuwa na shida.
Afadhali wewe inagoma kuna watu wamekatwaKama unalipa malipo ya serikali kwa leo, ni bora utumie bank kuliko mobile money, ukilipa unakatwa na malipo yako hayafiki taasisi inayo husika.
Siyo hivo ila intergration ya mobile ya mfumo wa serikali haujakaa vizuri.. serikali wapo slow sana inapo tokea issue.. Imagine wamekaa na fedha ya mtu for 3 days , TRA haijafika na mtu amekatwa.Hii huwa inatokea kama kuna ofisa ana-divert malipo ili yaingie kwenye akaunti yake.
Kama unalipa malipo ya serikali kwa leo, ni bora utumie bank kuliko mobile money, ukilipa unakatwa na malipo yako hayafiki taasisi inayo husi
Mimi tigo mpaka sasa awajairudisha tokea jana mchana nikiwapigia wanadai ni ipo hewani tu, pindi nilishailipia ile ile control no kwa simbankUlifanyaje mkuu?