TAHADHARI : Utapeli, Diwani Mstaafu wa Kongowe, Iddi Mtoro Kanyallu and

TAHADHARI : Utapeli, Diwani Mstaafu wa Kongowe, Iddi Mtoro Kanyallu and

Jul

Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
5
Reaction score
8
Don’t be deceived na huyu jamaa ni TAPELI
Kwa majina anaitwa Iddi Mtoro Kanyallu
Aliwahi kuwa Diwani wa Kongowe, kupitia CCM (2015-2020)
Na sasa anataka kugombea tena.


Anawatapeli watu wengi maguta, pikipiki na bajaji kwa mwavuli wa kwamba ni mwanasiasa na mfanyabiashara anayemiliki frame, kwenye hotel ya The Art, Kibaha - Miembe saba.
Ukishalipia tu hutakaa upate hicho chombo na Polisi kituo cha Kibaha hawatakusaidia chochote.
Jina la Biashara analotumia ni Deno Traders

Mawasiliano yake ni 0713 06 64 90 / 0745 19 70 51
3605e07c-7dae-4599-863e-e921ffffd880.jpg

d5e63730-9f11-4485-a7eb-8714b37b7f35.jpg

e6653cca-f7ef-4152-8dbe-be53156ce64a.jpg

a0b46740-558c-4276-8578-5e52adf30029.jpg

344f4c28-cd4d-49e4-b745-d3d868f360dc.jpg

IMG_5990.jpg


a6ee3b2c-14a2-4ece-b6ca-58cf85cb8a47.jpg
 
1:hujatoa nyama zote anatapeli maguta/piki piki ni kwamba anauza hvyo vitu ukinunua ndo hakupi au anapora kwa kwa nguvu kikiwa kwenye umiliki wako?

2: je huko kituoni ambako watu hawasaidiwi taarifa zilipelekwa vipi?na alipewa nani kituoni na kupuuzia na baada ya kupuuzia mlienda ngazi za juu za kituo?manispaa? nao walisemaje

3: Na watu waliotapelkwa mpaka sasa wamefika wangapi na wanaweza patikana ili hatua zichukuliwe.

ukinijibu hayo taarifa zako zitafika sehemu sahihi na kusaidiwa haraka mno kama ni mmoja wa mhanga japokuwa wengi hutoa taarifa then wakitafutwa wanakimbia au kuzima kabisa na simu hali ya kuwa wamedhulumiwa haki zao
 
1:hujatoa nyama zote anatapeli maguta/piki piki ni kwamba anauza hvyo vitu ukinunua ndo hakupi au anapora kwa kwa nguvu kikiwa kwenye umiliki wako?

2: je huko kituoni ambako watu hawasaidiwi taarifa zilipelekwa vipi?na alipewa nani kituoni na kupuuzia na baada ya kupuuzia mlienda ngazi za juu za kituo?manispaa? nao walisemaje

3: Na watu waliotapelkwa mpaka sasa wamefika wangapi na wanaweza patikana ili hatua zichukuliwe.

ukinijibu hayo taarifa zako zitafika sehemu sahihi na kusaidiwa haraka mno kama ni mmoja wa mhanga japokuwa wengi hutoa taarifa then wakitafutwa wanakimbia au kuzima kabisa na simu hali ya kuwa wamedhulumiwa haki zao

1. Anauza hivo vitu, ni Agent ukihitaji anakwambia ulipie advance au full ambapo kesho yake au baada ya siku mbili utapata likiwa limekua registered TRA kwa jina lako. Na receipt anakupa.

2. Kituoni nilikutana na watu ambapo mmoja wapo ni diwani wa sasa wa Kongowe na wote tulikua na RB, lakini police wanakwambia inakuaje mnafanya biashara na huyu jamaa, ni kwamba anafahamika ni tapeli na ana kesi nyingi, na police hawataki kesi kumhusu yeye,mimi kwa mfano nimebadilishiwa wapelelezi mara tatu, na mmoja alinambia kesi za huyo jamaa hapendi.
Na yet anaachwa aendelee kufanya biashara kwenye frame yake pale Miembe Saba, Art Hotel.

Nilienda mpaka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha.

3. Watu waliotapeliwa ninaowajua, ni wanne ukinitoa mimi na wanapatikana.
 
1. Anauza hivo vitu, ni Agent ukihitaji anakwambia ulipie advance au full ambapo kesho yake au baada ya siku mbili utapata likiwa limekua registered TRA kwa jina lako. Na receipt anakupa.

2. Kituoni nilikutana na watu ambapo mmoja wapo ni diwani wa sasa wa Kongowe na wote tulikua na RB, lakini police wanakwambia inakuaje mnafanya biashara na huyu jamaa, ni kwamba anafahamika ni tapeli na ana kesi nyingi, na police hawataki kesi kumhusu yeye,mimi kwa mfano nimebadilishiwa wapelelezi mara tatu, na mmoja alinambia kesi za huyo jamaa hapendi.
Na yet anaachwa aendelee kufanya biashara kwenye frame yake pale Miembe Saba, Art Hotel.

Nilienda mpaka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha.

3. Watu waliotapeliwa ninaowajua, ni wanne ukinitoa mimi na wanapatikana.
nitumie no zako pm
 
Hivi hayo mapete pete ya rangi rangi huwa yana maana gani
 
Uyu jamaa ni Tapeli ila dunia itamfunza
 

Attachments

  • 1a073482-7211-4216-b814-537b4aadf568.jpeg
    1a073482-7211-4216-b814-537b4aadf568.jpeg
    52.7 KB · Views: 12
  • 71ec4fcc-9fe0-4db1-aa1b-162595553eb5.jpeg
    71ec4fcc-9fe0-4db1-aa1b-162595553eb5.jpeg
    63.9 KB · Views: 13
1. Anauza hivo vitu, ni Agent ukihitaji anakwambia ulipie advance au full ambapo kesho yake au baada ya siku mbili utapata likiwa limekua registered TRA kwa jina lako. Na receipt anakupa.

2. Kituoni nilikutana na watu ambapo mmoja wapo ni diwani wa sasa wa Kongowe na wote tulikua na RB, lakini police wanakwambia inakuaje mnafanya biashara na huyu jamaa, ni kwamba anafahamika ni tapeli na ana kesi nyingi, na police hawataki kesi kumhusu yeye,mimi kwa mfano nimebadilishiwa wapelelezi mara tatu, na mmoja alinambia kesi za huyo jamaa hapendi.
Na yet anaachwa aendelee kufanya biashara kwenye frame yake pale Miembe Saba, Art Hotel.

Nilienda mpaka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha.

3. Watu waliotapeliwa ninaowajua, ni wanne ukinitoa mimi na wanapatikana.
Ina maana polisi wanamuogopa!Toa hao polisi waliopo hapo kituoni!
 
Wakiisha toka kwenye nafasi za udiwani na uwenyekiti wa serikali za mitaa, wanageuka kuwa matapeli.
 
Back
Top Bottom