DOKEZO Tahadhari: Utapeli wa watu waliojificha nyuma ya biashara ya kimtandao ya ‘Alliance in Motion Global’

DOKEZO Tahadhari: Utapeli wa watu waliojificha nyuma ya biashara ya kimtandao ya ‘Alliance in Motion Global’

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Junior Lecturer

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
913
Reaction score
582
Kuna shirika lina jiita Allience In motion global. Linakusanya vijana toka mikoa mbalimbali Tanzania, likiwaahaidi kuwapa ajira. Badala yake vijana huishia kutapeliwa kwa kujidai wana fundisha networking marketing.

Wengi wamelia na kusaga meno baada ya kutoa tsh 900,000. Na Wengine 580,000. Wameishia kutapeliwa hakuna cha bidhaa wala ajira. Wametelekezwa chakula na maradhi shida.

Wengi wa vijana wanao chukuliwa na kutapeliwa wanatoka family za hali ya chini sana. Unakuta wazazi wameuza mashamba wengine ng'ombe ili watoto wao wakapate ajira.

Mkoa wa Mwanza kuweni makini. Shirika hili lime jichimbia huko. Shirika hili limesajiliwa, na vibali vyao vina onyesha wana jishughulisha na masula ya tiba lishe. Makao makuu yao yana onyesha yapo mikocheni jijini Dar es salaam.

Vijana wanao chukuliwa ni kuanzia miaka 15 hadi 25. Wengi wamelia na kusaga meno.

Mkitaka ushahidi na ushuhuda, nina namba za simu za wahanga kadhaa. Nawaungaisha nao.

Pia soma:
Shinyanga: DC Mtatiro aamuru Aliance Motion Global kufungwa kwa tuhuma za kukusanya vijana na kuwatapeli
 
Ukiona deal kubwa la hela limekuja kirahisi rahisi stuka ni WEEZY...Nothing good comes easy ,you gotta try real hard.
 
Kuna shirika lina jiita Allience In motion global. Linakusanya vijana toka mikoa mbalimbali Tanzania, likiwaahaidi kuwapa ajira. Badala yake vijana huishia kutapeliwa kwa kujidai wana fundisha networking marketing.

Wengi wamelia na kusaga meno baada ya kutoa tsh 900,000. Na Wengine 580,000. Wameishia kutapeliwa hakuna cha bidhaa wala ajira. Wametelekezwa chakula na maradhi shida.

Wengi wa vijana wanao chukuliwa na kutapeliwa wanatoka family za hali ya chini sana. Unakuta wazazi wameuza mashamba wengine ng'ombe ili watoto wao wakapate ajira.

Mkoa wa Mwanza kuweni makini. Shirika hili lime jichimbia huko. Shirika hili limesajiliwa, na vibali vyao vina onyesha wana jishughulisha na masula ya tiba lishe. Makao makuu yao yana onyesha yapo mikocheni jijini Dar es salaam.

Vijana wanao chukuliwa ni kuanzia miaka 15 hadi 25. Wengi wamelia na kusaga meno.

Mkitaka ushahidi na ushuhuda,nina namba za simu za wahanga kadhaa. Nawa ungaisha nao.
tutumie nambar za hao wahusika
 
Kuna shirika lina jiita Allience In motion global linakusanya vijana toka mikoa mbalimbali Tanzania, likiwaaahidi kuwapa ajira. Badala yake vijana huishia kutapeliwa kwa kujidai wanafundisha networking marketing.

Wengi wamelia na kusaga meno baada ya kutoa tsh 900,000. Na Wengine 580,000. Wameishia kutapeliwa hakuna cha bidhaa wala ajira. Wametelekezwa chakula na maradhi shida.

Wengi wa vijana wanaochukuliwa na kutapeliwa wanatoka family za hali ya chini sana. Unakuta wazazi wameuza mashamba wengine ng'ombe ili watoto wao wakapate ajira.

Mkoa wa singida wilaya ya Manyoni na halmashauri ya Itigi kuweni makini. Shirika hili limejichimbia huko. Shirika hili limesajiliwa, na vibali vyao vinaonyesha wanajishughulisha na masula ya tiba lishe. Makao makuu yao yanaonyesha yapo mikocheni jijini Dar es salaam. lakini watu hawa wanatumia jina na kampuni hii kutapeli vijana

Vijana wanaochukuliwa ni kuanzia miaka 15 hadi 25. Wengi wamelia na kusaga meno. Vijana hawa wanaambiwa watoe pesa mpaka laki 9 je kwa umri wao hio pesa haitoshi kuwapeleka veta? ebu wazazi amkeni na tunahitaji taasisi zinazousika kwanzia mwenyekiti wa kijiji na polisi wafuatilie hawa vijana.

IMG_3108.jpeg
 
Pelekeni hii taarifa serikalini na wizara ys mambo ya ndani wawanyooshe wezi hao.
 
Mwaka jana rafiki yangu sana alikuja akiwa kawekeza laki 4 mahali ambayo kila siku unalipwa asilimia 20 ya ulichowekeza, nikashawishika kwani yeye alikuwa keshvuna wiki nzima, badi nikachukua akiba yangu laki2 nikawekeza, kweli jion nikaona elf 40 imeingia nikasema mambo si ndo haya, mpango wangu ile laki 2 ingerudi ndani ya wiki, then ile hela ningehesabu sio yangu, nlipanga faida ningeendelea kuwekeza yasn kila wiki faida nairudisha mpaka ningekuwa na hela mlima.
Kesho yake tu nikapokea ujumbe kwenye application yao kuwa natakiwa kuongeza laki 1 ili niweze kuruhusiwa kutoa bonas yangu, ndo nikashtuka kuwa hapa kuna kupigwa, baada ya muda jamaskasema wamefunga ofisi
 
Mwaka jana rafiki yangu sana alikuja akiwa kawekeza laki 4 mahali ambayo kila siku unalipwa asilimia 20 ya ulichowekeza, nikashawishika kwani yeye alikuwa keshvuna wiki nzima, badi nikachukua akiba yangu laki2 nikawekeza, kweli jion nikaona elf 40 imeingia nikasema mambo si ndo haya, mpango wangu ile laki 2 ingerudi ndani ya wiki, then ile hela ningehesabu sio yangu, nlipanga faida ningeendelea kuwekeza yasn kila wiki faida nairudisha mpaka ningekuwa na hela mlima.
Kesho yake tu nikapokea ujumbe kwenye application yao kuwa natakiwa kuongeza laki 1 ili niweze kuruhusiwa kutoa bonas yangu, ndo nikashtuka kuwa hapa kuna kupigwa, baada ya muda jamaskasema wamefunga ofisi
Uli shenyetwa ......pole sana
 
Back
Top Bottom