JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Kwa mujibu wa ripoti iliyochapishwa na Shirika la Afya Duniani(WHO) inaeleza kuwa tafiti zilizofanywa katika Mataifa yenye Wagonjwa wa #CoronaVirus watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi, Kisukari na shinikizo la damu kuwa katika hatari zaidi wanapoambukizwa #COVID19
Imefafanuliwa kuwa magonjwa haya kwa kiasi kikubwa huathiri kinga ya mwili ambayo inaweza kupambana na Virusi vya Maginjwa mbalimbali ikiwemo Corona
WHO inaeleza kuwa watu wenye changamoto za magonjwa haya na mengine mengi yanayohusisha kushuka kwa kinga ya mwili wanapaswa kuwa waangalifu zaidi dhidi #CoronaVirus
Inashauriwa kuwa kupuka mikusanyiko, ukiweza kaa nyumbani, nawa mikono kwa sabuni na maji tiririka. Endapo utaona dalili za maambukizi, tafadhali wasiliana na mamlaka ili upatiwe ufumbuzi
Imefafanuliwa kuwa magonjwa haya kwa kiasi kikubwa huathiri kinga ya mwili ambayo inaweza kupambana na Virusi vya Maginjwa mbalimbali ikiwemo Corona
WHO inaeleza kuwa watu wenye changamoto za magonjwa haya na mengine mengi yanayohusisha kushuka kwa kinga ya mwili wanapaswa kuwa waangalifu zaidi dhidi #CoronaVirus
Inashauriwa kuwa kupuka mikusanyiko, ukiweza kaa nyumbani, nawa mikono kwa sabuni na maji tiririka. Endapo utaona dalili za maambukizi, tafadhali wasiliana na mamlaka ili upatiwe ufumbuzi
Upvote
0