Tahadhari watumia pombe kali!

Tahadhari watumia pombe kali!

kissa anyigulile

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
1,550
Reaction score
1,742
Mwaka jana, wakati kama huu (siku kuu mfululizo), nilimpoteza rafiki yangu kipenzi.
Alipenda sana pombe kali, bia alikuwa hataki.
Kula chakula alikuwa mvivu.
Sasa alianza na pombe Kali, Alhamisi jioni, (hapo ni mpaka masaa marefu), Ijumaa, Jumamosi, Jumapili, Jumatatu!
Sasa Jumanne tumefika ofisini(tulikuwa ofisi moja), saa mbili, saa tatu, saa nne, mmmh! kimya hakuna mtu.
Nikamfuata nyumbani kwake. Gonga mlango weee! kimya.
Nikaita majirani, nikapiga simu ofisini.
Uamuzi ikawa kuvunja mlango.
Mshangao! Jamaa amelala usingizi mzito, chupa pembeni.
Postmortem, no food at all. Liver failure!!
Comrades be careful!!
 
Kwahiyo tatizo ni pombe au tatizo ni chakula, tuweke sawa comrade!

Haya tukiacha pombe kali wewe mapendekezo yako ni tunywe pombe gani?

Yote kwa yote tusipokunywa pombe mtaunganisha kilio cha kulipia ada watoto wenu na hiki cha mafuta...
Tatizo Ni pombe usinywe nyingi alafu msosi ule wa maana sio unagusa gusa
 
Mwaka jana, wakati kama huu (siku kuu mfululizo), nilimpoteza rafiki yangu kipenzi.
Alipenda sana pombe kali, bia alikuwa hataki.
Kula chakula alikuwa mvivu.
Sasa alianza na pombe Kali, Alhamisi jioni, (hapo ni mpaka masaa marefu), Ijumaa, Jumamosi, Jumapili, Jumatatu!
Sasa Jumanne tumefika ofisini(tulikuwa ofisi moja), saa mbili, saa tatu, saa nne, mmmh! kimya hakuna mtu.
Nikamfuata nyumbani kwake. Gonga mlango weee! kimya.
Nikaita majirani, nikapiga simu ofisini.
Uamuzi ikawa kuvunja mlango.
Mshangao! Jamaa amelala usingizi mzito, chupa pembeni.
Postmortem, no food at all. Liver failure!!
Comrades be careful!!
Pole sana kwa kumpoteza huyo rafiki yako Chapombe na mvivu wa kula. Naamini huu ushauri wako utamsaidia sana Mzee Mgaya wa pale Kihesa Iringa.
 
Poleni sana, msiwe mnakunywa pombe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu hebu tuambie hiyo pombe kali aliyokuwa anakunywa ni ipi? Maana hizo pombe kali zina ABV na Percentage Proof tofauti tofauti. Usije kuta alikuwa anakunywa mnyama kama huyu.
polmos-spirytus-192pf.png
 
Back
Top Bottom