Tahadhari ya Kujikinga na Korona iangaliwe upya

Kirchhoff

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,735
Reaction score
8,541
Hii Ni tahadhali Kama ilivyotolewa na uongozi wa JF;

"Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS"

Ningependa neno "kuosha" libadilike na kuwa "kunawa". Tahadhari Isomeke hivi;

"Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kunawa mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS"

Neno kuosha linatumika zaidi Kwa Maiti ndo ule msemo wa "Mwosha huoshwa" ukawepo na Ile mwingine "Siri ya Maiti aijua Mwosha"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…