A
Anonymous
Guest
Matapel kila siku wanapiga simu na kudai ni watoa huduma kwa wateja na ukiwasanukia wanatukana sana matusi mabaya na ya nguoni, kama umekaa na watu wako au familia yako inakuwa ni aibu na inaleta kero sana
Je, hivi ni kweli MAMLAKA YA MAWASILIANO TCCRA IMESHIDWA KUTHIBITI HAWA WATU
Je, hivi ni kweli MAMLAKA YA MAWASILIANO TCCRA IMESHIDWA KUTHIBITI HAWA WATU