SHAIDI
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 291
- 141
Wana jf, katika harakati ya kjikomboa kiuchimi nilifikiri kuanzisha biashara ya kuuza chipsi maeneo ya tabata, niko kwenye mchako wa kutafuta location na nimepata kwa taadhari ya kwamba hapo nilipopata kuna watu walishafanya hii biashara lakin baada ya kipindi biashara inakufa nilitaadharishwa hivyo na muhusika, me kama mdogo wake na ni vizuri akaniambia ukweli kuna mambo ya kishirikina maeneo hayo kwa sababu kuna wafanya biashara wengine lakin sio wa biashara kama hii ya chipsi
Mimi binafsi nilishtuka lakin nikajikaza kiume nikamwambia kuwa nitaichukulia kama changamoto, leo jioni ndiyo nataka kwenda kulipia lakin nasita kwa tahadhari niliyopewa, location ni nzuri sana bei nafuu, ndugu zangu me namwamin mungu nikijua kwamba kuna shetan(ushirikina)
naombeni ushauri kuhusu hili je nilipe hiyo pango? au nitafute shemu nyingine?
na nikilipa nifanye nini kuepuka hii tahadhari niliyopewa?
natanguliza shukrani,
Mimi binafsi nilishtuka lakin nikajikaza kiume nikamwambia kuwa nitaichukulia kama changamoto, leo jioni ndiyo nataka kwenda kulipia lakin nasita kwa tahadhari niliyopewa, location ni nzuri sana bei nafuu, ndugu zangu me namwamin mungu nikijua kwamba kuna shetan(ushirikina)
naombeni ushauri kuhusu hili je nilipe hiyo pango? au nitafute shemu nyingine?
na nikilipa nifanye nini kuepuka hii tahadhari niliyopewa?
natanguliza shukrani,