Tahadhari zipi zinatakiwa kujikinga na kimbunga HIDAYA

Tahadhari zipi zinatakiwa kujikinga na kimbunga HIDAYA

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mamlaka ya hali ya hewa imetutadhalisha juu ya janga la kimbunga hidaya kinachowasili hapa nchini hivi karibu
Binafsi sielewi ni tahadhari zipi nichukue
1. Tusisogelee maeneo ya bahari?
2.Tusiwe kwenye misongamano ya watu?
3. Tusikae milimani?
4. Tuandae chakula cha kutosha?
5.mavazi yaweje?
Naomba mawazo yenu
 
images (14).jpeg
 
Back
Top Bottom