LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,483
- 3,369
- Thread starter
-
- #21
Nundu wa Selote ana point.
Kuna kitu inaitwa sleep Walk ni ugonjwa.
Mtu anaamka usiku,
anafungua jokofu,
anachua misosi anapasha moto,
anakaa na kula,
hali yupo usingizini.
Ukimshitua unaweza kumpeleka katika shock,
na brain ikashindwa kufanya kazi vizuri kwa muda.
Kitaalamu ugonjwa upo.
Hata hivyo sipingi madai kwamba,
ana nguvu nyingine kutoka katika dunia ya roho.
kama ulikuwepo na wao walikuwa wanasifia nyama tamu kweli kumbe za watu.Hapo kwenye red mpaka mwili wangu umetetemeka.Unaweza kusifia nyama ya leo tamu sana, kumbe bonge la maiti ya ajali.Eeeh Mungu tusaidie!
kama ulikuwepo na wao walikuwa wanasifia nyama tamu kweli kumbe za watu.
Uuuuwi jamani haya mambo mhhhh
Mie binafsi yalinikuta lakini sijui kama nilikuwa nawangiwa ama la.
Msichana mwenyewe aliniambia historia yake ya huko alikotokea, kuwa aliwahi kupotea for a year katika mazingira ya kutatanisha, wazazi wakajua amefariki! kumbe anaishi na bibi yake aliyefariki huko mapangoni!!!! uuuwi vinatisha nyie...nakumbuka mwili ulipata ganzi nikawa siwezi kuinuka nlipokaa kwa kama saa nzima hivi,,,,ukizingatia kuwa ndiye ninayemuacha na mtoto mimi nikienda kazini!!!aliniambia pia ana majini kibao mpaka makata lkn kwa sasa eti yamefungwa mpk atakapofikisha umri flani!!!
Nilinywea!!!
Kumfukuza nikawa naogopa maana sikuwa na sababu ya wazi!
Nashukuru Mungu hakukaa sana sababu ya kuondoka ikapataikana!!!
Tuliachana kwa wema na hakuna chochote kibaya kilotokea!
Ila bi dada nadhani sasa hivi atakuwa sangoma maana alinipigia kunijulia hali akasema ameanza kufundishwa hiyo fani!
That was last year!!!
"Nadhani itafikia wakati itabidi kuacha kazi ili kulea......................" (mhhh just thinking louder hapa)
Kuna habari nyingine true nimepata muda si mrefu hapa ktkt ya mji na inafanana na hii ya kwako haswa!
Pole Mpendwa wetu!
we acha tu......kuna mwingine yeye alikuwa anasafirisha chakula.......utakuta baada ya wiki kila kitu kimeisha wanashangaa hivi vitu vimeishaje kumbe H/G anapeleka kwao kubanwa ndo akasema hivyo.Hatari sana sister
hulazimishwi kuamini we potezea yakikukuta nawe utakuja huku mbona inaeleweka vizuri au hujawahi ishi uswaz???????????? Tunamuelewa mtoa mada vizuriiiindugu liverpool,
hii taarifa yako inaonekana ina mapungufu makubwa-kama ya kutunga vile!!! Je housegirl zaidi ya kukutwa akiwa uchi sebuleni alikuwa akifanya nini? Nina maana ni kitu gani kilifanya wenye nyumba waseme anawanga? Je, haiwezekani kwamba alikuwa kwenye ndoto? Suala la kuwa uchi inawezekana alilala bila nguo na alioanza kuota akaamka na kutoka kama alivyokutwa. Je ni madhara gani aliyoleta zaidi ya hadithi za milango kukutwa wazi? Je kukutwa kwa huyo housegirl ambaye mwandishi wa habari hii hautueleza hata hicho alichokuwa akibwabwaja, inatosha kutuambia tujiadhari na wasichana wa kazi za ndani????
Yuko MH mmoja aliwahi kuwa waziri enzi za Mwalimu,
Ma HG wake wote ambao ni 5 amewasomesha mpaka kidato cha 6
Si hivyo,
Enzi hizo miaka ya 90 alikuwa akiwapa Tsh25,000 wakati wengine wakilipa 2000.
Zaidi ya hapo alihakikisha kila mwezi anaweka 10,000 ili akifanya kazi miaka 3 mfululizo anaanza shule kama binti yake.
Watu wengi walimwona falla mkubwa.
Leo hii wale Ma HG wana kazi zao nzuri kabisa,
huenda kwake wakati wa likizo,
Ni bint zake nao wanamwona ni baba yao.
Mabinti 4 ni Wahehe 1 ni mrangi
inataka moyo lakini.
kuna nyumba fulani walikuwa wanalishwa nyama za watu bila kujua..........siku moja yule mama akamleta mchungaji nyumbani kwake H/G wacha apandishe na kuanza kutoa siri.
mimi nadhani ukimpata tu H/G unamwitia mchungaji au unampeleka kanisani akaombewe mana ni hatari................na tuwe na utaratibu wa kusali usiku majumbani kwetu na kama unaweza mwagia nyumba yako kwa maji ya baraka kabla ya kulala unapita kila chumba unamwagia maji ya baraka na kusali.
ulivyoongea as if unanijua kiundani sana.........embu isome vizuri hiyo post uliyoni quote mana ndivyo uwa nafanyaga.Wewe mwenyewe hapo ulipo huna idea na maombi, ila unacreat maombi kwa HG. You must be kidding. Swali kabla ya kuswaliwa.
Ndugu Liverpool,
Hii taarifa yako inaonekana ina mapungufu makubwa-kama ya kutunga vile!!! Je housegirl zaidi ya kukutwa akiwa uchi sebuleni alikuwa akifanya nini? Nina maana ni kitu gani kilifanya wenye nyumba waseme anawanga? Je, haiwezekani kwamba alikuwa kwenye ndoto? Suala la kuwa uchi inawezekana alilala bila nguo na alioanza kuota akaamka na kutoka kama alivyokutwa. Je ni madhara gani aliyoleta zaidi ya hadithi za milango kukutwa wazi? Je kukutwa kwa huyo Housegirl ambaye mwandishi wa habari hii hautueleza hata hicho alichokuwa akibwabwaja, inatosha kutuambia tujiadhari na wasichana wa kazi za ndani????
Watu wengi huwa nyanyapaa watumishi hawa,
na kuwafanya second class citizen.
Kuna wenye nyumba ambao huwageuza nyumba ndogo,
tena kwa kuwabaka.
Huwafanyisha kazi masaa 24.
Hakuna mikataba,
siku zote hupunjwa ujira.
Yuko MH mmoja aliwahi kuwa waziri enzi za Mwalimu,
Ma HG wake wote ambao ni 5 amewasomesha mpaka kidato cha 6
Si hivyo,
Enzi hizo miaka ya 90 alikuwa akiwapa Tsh25,000 wakati wengine wakilipa 2000.
Zaidi ya hapo alihakikisha kila mwezi anaweka 10,000 ili akifanya kazi miaka 3 mfululizo anaanza shule kama binti yake.
Watu wengi walimwona falla mkubwa.
Leo hii wale Ma HG wana kazi zao nzuri kabisa,
huenda kwake wakati wa likizo,
Ni bint zake nao wanamwona ni baba yao.
Mabinti 4 ni Wahehe 1 ni mrangi
inataka moyo lakini.