Taharuki ya CORONA + Mvua ya AJABU Dar es Salaam + Uchumi mbaya MIFUKONI = Sadaka Kiduchu Makanisani na Wachungaji wengi Kununa

Taharuki ya CORONA + Mvua ya AJABU Dar es Salaam + Uchumi mbaya MIFUKONI = Sadaka Kiduchu Makanisani na Wachungaji wengi Kununa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Sijawahi kuona Pasaka ambayo Wachungaji na Makasisi wengi ' Wamenuna ' na wana ' Hasira ' hata Nyusoni mwao kama hii ya leo. Kuna Kanisa Moja Wilayani Kinondoni Siku zote Saa 2 Asubuhi huwa ' limeshafurika ' Waumini na Sadaka yake kwa Siku hufikia Shilingi Milioni hata Tatu hadi Nne ila cha Ajabu mpaka muda huu Watu waliopo ni Mchungaji na Familia yake, Mpiga Kinanda na Wanakwaya huku ' Vikapu ' vyao vya Sadaka vikiwa vinapiga ' Miayo ' tu.

Shikamoo COVID-19, Mvua hii Kubwa na ya Ajabu ya Jijini Dar es Salaam na Ukata mkubwa Mifukoni mwetu. Tutaheshimiana!

Kazi kweli kweli!
 
Mvua imeleta stay at home order

Kuna Mchungaji Mmoja leo muda wote ' Anafokafoka ' tu kwa Hasira na tokea nimjue sijawahi Kumuona akiwa hivi. Sijui amekopa mahala na labda alitegemea ' Nyomi ' la leo Pasaka ili Sadaka iwe nyingi Jumanne akapunguze kama si Kulipa Deni la Watu! Shikamoo Mvua ya Ajabu ya Dar es Salaam, Taharuki ya CORONA na Njaa ya Kutukuka iliyoko Mifukoni mwetu.
 
Kuna Mchungaji Mmoja leo muda wote ' Anafokafoka ' tu kwa Hasira na tokea nimjue sijawahi Kumuona akiwa hivi. Sijui amekopa mahala na labda alitegemea ' Nyomi ' la leo Pasaka ili Sadaka iwe nyingi Jumanne akapunguze kama si Kulipa Deni la Watu! Shikamoo Mvua ya Ajabu ya Dar es Salaam, Taharuki ya CORONA na Njaa ya Kutukuka iliyoko Mifukoni mwetu.
 
Back
Top Bottom