Hivi hii jumuiya ya vyuo vikuu tanzania inafanya kitu gani mpaka sasa hatujaskia lolote kutoka kwao kama wanafuatilia suala la waliokosa mkopo ama na wao ndo kwa kuwa wanaingia kwenye bodi washakula 10%.....xxx
Hawa viongozi wetu nao wanajifunza tabia zilezile za viongozi wa nchi,,,msimamo zeroooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo,,,,,,,,,,,,,,,during election tukiwa chuo tunawaondoa wote,,,tunaweka wapya,,,,,wenye mawazo mapya,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.