TAHLISO wako wapi kuhusu katiba mpya?

TAHLISO wako wapi kuhusu katiba mpya?

nyamakonge

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2013
Posts
363
Reaction score
131
Wakuu naomba kujua uwepo na ushiriki wa hawa wasomi wetu wa vyuo vikuu ktk katiba mpya.Mbona wamekua kimya hivi?

Enzi za kina Mtatiro jumuiya hii was very hot lakini siku hizi ni kama imefutwa vile.Viongozi wake hawajulikani kitaifa,madai ya wanafunzi kimya.

TAHLISO kunani?
 
Hawawezi kutoa tamko,maoni au msimamo wao na wakati hakuna aliewaandalia Pilau,Vinywaji na Posho kidogo.Refer lile tamko lao la Dodoma.
 
Back
Top Bottom