TAHOSSA: chombo cha kitaaluma kilichoingiliwa na siasa

mdeki

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
3,299
Reaction score
475
Kwa miaka mingi sana chombo hiki kimekua msaada kwa mustakabali wa elimu nchini lakini matatizo mengi yametokana na siasa, wakuu wa shule wameachiwa mzigo wa kuendesha shule..... Ntarudi kikao ndo kinaaanza

"Nchi ngumu hii"
 
Kwa miaka mingi sana chombo hiki kimekua msaada kwa mustakabali wa elimu nchini lakini matatizo mengi yametokana na siasa, wakuu wa shule wameachiwa mzigo wa kuendesha shule..... Ntarudi kikao ndo kinaaanza

"Nchi ngumu hii"

umaskini wako wa fikra ndo unakuongoza uone hivyo TAHOSSA ni mradi wa watu,na haijawahi kuwa na wawakirishi ni wakuu wa shule tu
kiujumla ni kundi flani hv lililokuwa linatekeleza mambo yake kinyume na mitazamo ya wengi
 
umaskini wako wa fikra ndo unakuongoza uone hivyo TAHOSSA ni mradi wa watu,na haijawahi kuwa na wawakirishi ni wakuu wa shule tu
kiujumla ni kundi flani hv lililokuwa linatekeleza mambo yake kinyume na mitazamo ya wengi

Hebu nijuze mkuu ni kwa vipi umaskini wangu wa fikra? Na je ukweli ukoje?

"Nchi ngumu hii"
 
Unasema hivyo kwa kuwa na uhakika au ni mawazo yako tu? Hebu tupe japo kirefu chake na shughuli za TAHOSSA mbili tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…