IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 545
.....pia asiyekubali kukosolewa akili yake ni dhaifu sana.Ukiona hautaki/upendi kukosolewa jua bado haupo tayari kubadirika, na kama haupo tayari kubadirika tambua you're not matured enough
CCM NI JANGA LA DUNIA KULIKO CORONATaifa lenye watu wenye fikra pevu limejengwa katika utamaduni
wa kuheshimu na kukubali ukosoaji wa aina yoyote ile, na si
usengenyaji. Kuyaona madhaifu ya mwenzako na kumweleza
yeye mwenyewe ni kumkosoa, lakini kwenda kuyaeleza
madhaifu hayo kwa wengine ni kumsengenya alisema Nyerere
kupitia chapisho lake la Tujisahihishe.Chadema kuikosoa serika wanaonekana ni wahalifu,
wanaonwa ni magaidi,as if wao si watanzania,..Wito wangu kwa chama kinacho tawala,
Tukubali kukosolewa ili tujirekebishe.
HAKIKA WANENA VEMACCM NI JANGA LA DUNIA KULIKO CORONA
Hata Polepole kasema Kukosoa ni Msingi wa Demokrasia na Ujamaa.Taifa lenye watu wenye fikra pevu limejengwa katika utamaduni
wa kuheshimu na kukubali ukosoaji wa aina yoyote ile, na si
usengenyaji. Kuyaona madhaifu ya mwenzako na kumweleza
yeye mwenyewe ni kumkosoa, lakini kwenda kuyaeleza
madhaifu hayo kwa wengine ni kumsengenya alisema Nyerere
kupitia chapisho lake la Tujisahihishe.Chadema kuikosoa serika wanaonekana ni wahalifu,
wanaonwa ni magaidi,as if wao si watanzania,..Wito wangu kwa chama kinacho tawala,
Tukubali kukosolewa ili tujirekebishe.
Mtu yeyote asiyependa uwazi na uwajibikaji ni Fisadi.Ukiona hautaki/upendi kukosolewa jua bado haupo tayari kubadirika, na kama haupo tayari kubadirika tambua you're not matured enough
Power over others is weakness disguised as strength......pia asiyekubali kukosolewa akili yake ni dhaifu sana.
Wito wangu kwa chama kinacho tawala,Taifa lenye watu wenye fikra pevu limejengwa katika utamaduni
wa kuheshimu na kukubali ukosoaji wa aina yoyote ile, na si
usengenyaji. Kuyaona madhaifu ya mwenzako na kumweleza
yeye mwenyewe ni kumkosoa, lakini kwenda kuyaeleza
madhaifu hayo kwa wengine ni kumsengenya alisema Nyerere
kupitia chapisho lake la Tujisahihishe.Chadema kuikosoa serika wanaonekana ni wahalifu,
wanaonwa ni magaidi,as if wao si watanzania,..Wito wangu kwa chama kinacho tawala,
Tukubali kukosolewa ili tujirekebishe.
Wito wangu kwa chama kinacho tawala,
Tukubali kukosolewa ili tujirekebishe.
Kuto ruhusu habari za kiuchunguzi Taifa limefika hapa tulipo 'media, mediate and shape"Wito wangu kwa chama kinacho tawala,
Tukubali kukosolewa ili tujirekebishe.
definitely, that is why wise people balance and stay humblePower over others is weakness disguised as strength.