Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #21
MMK,
Mtalii alikutuhumu hapa kwamba unajihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya kwenye ile thread ya Mtanzania aliyeuwawa UK, nilikuomba utoe tamko kuhusu tuhuma hizo lakini hadi leo umekaa kimya, I think we should all practise what we are preaching here.
NB:UGAIDI and not UGHAIDI- Apart from that, a very good article I must say, congratulations!I wish I could write like you.
kwanini usimuulize huyo jamaa akuambie ushahidi alionao kwamba nahusika na madawa ya kulevya? jibu gani la kwangu litakuridhisha litakufanya uniamini nitakachokuambia? Na mimi nikikutuhumu kuwa unajihusisha na kusafirisha watoto wa kike kwa Umalaya Thailand, utanithibitishia vipi kuwa huhusiki?
kwanini usimuulize huyo jamaa akuambie ushahidi alionao kwamba nahusika na madawa ya kulevya? jibu gani la kwangu litakuridhisha litakufanya uniamini nitakachokuambia? Na mimi nikikutuhumu kuwa unajihusisha na kusafirisha watoto wa kike kwa Umalaya Thailand, utanithibitishia vipi kuwa huhusiki?
MMK,
Mtalii alikutuhumu hapa kwamba unajihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya kwenye ile thread ya Mtanzania aliyeuwawa UK, nilikuomba utoe tamko kuhusu tuhuma hizo lakini hadi leo umekaa kimya, I think we should all practise what we are preaching here.
NB:UGAIDI and not UGHAIDI- Apart from that, a very good article I must say, congratulations!I wish I could write like you.
kana-Ka-Nsungu bwana wewe unatamani alafu tena sijui....
Wewe naona unataka kuzaliwa na Nzungu nini(Tanzania imekushikushinda) maana ni kutamani tamani tu (joke)
Tuhuma utupiwe wewe halafu shughuli ya kutafuta ushahidi inipate mimi? Kwani mi polisi au hakimu? Ulipaswa utoe tamko kuhusu hilo suala,hukuwa na haja ya kutoa ushahidi- kukanusha tu ingetosha. Ningefanya hivyohivyo kama ungenituhumu hapa kwa chochote.
Makala hii imetoka kwenye gazeti la Tanzania Daima (hard copy) lakini kwenye mtandao haikuwekwa.
TAIFA LILIPOTEKWA NYARA, USALAMA WA TAIFA WALIKUWA WAPI?Na. M. M. Mwanakijiji
Nirudi kidogo kwenye suala la EPA na madai kuwa yawezekana Tanzania iko mikononi mwa maghaidi.
Uwezekano kuwa nchi yetu iko mikononi mwa maghaidi na kuwa vyombo vyetu vya usalama vinatambua hivyo, ni uwezekano ambao lazima umshtue Mtanzania yeyote yule kwani kama ni kweli, basi tunachopigania siyo hali yetu ya maisha ya kuwa huru na wenye kufanikiwa bali tunapigania uhai wetu kama Taifa.
Sasa umeamua kuwafuata watu wa Usalama wa Taifa? Hawa hawaguswi na hawagusiki, walioliteka taifa siyo mafisadi wa EPA.. tumia akili kchwani...Nusura upatie...
asante.
Ulikwenda likizo miaka 15 iliyopita. Nasikia Nyerere amezikwa nao.Hivi , wadau Usalama wa Taifa bado upo?