Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy


Maelezo yako yana mashiko ila shida umezidisha chumvi kidogo. Neno "Taifa Limesimama" ni kubwa sana. Kwenye hili neno ndio inaoneka labda wewe ndie bwana harusi na kama sio basi unamfanyia promo.
 
Dah! Hizi comments za waja humu 😂😂
 
Laiti ungejua uzito wa Gilsant usinge andika hivi. Ungepata nafasi ya kuhudhuria hii harusi ungemuelewa mleta uzi anamaanisha nini
Ww pamoja na alieleta hii thread ni machawa wa huyo sijui Gilsant,bila yy hamuendi chooni
 
Unamsifia mwanaume mwenzako hivi kuna walakini
 
Bwana harusi kwanza ni mtu wa kulelewa hapo kwa huyo bimdashi kafuata mpunga ilhali katelekeza mke na mtoto,au labda connection unazungumzia ni hayo majimama ya mjini?
 
Mkuu Zakaria amedanja?
 
Sijaona Uzi uko wapi huo?
Maana watu wakifunguka mume ataona huyu mke au public consumption
Huko Twitter wamemchambua vilivyo mpaka raia wameona umuhimu wa kuficha maisha ya mahusiano
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…