johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hakuna sababu yoyote ya Taifa Stars kufungwa ukizingatia ukweli kwamba Uganda wameshaqualify.
Niwe tu mkweli kwa mechi yetu na Uganda hata kama tutamtumia kocha wa Lipuli ya Iringa lazima tutashinda, hii ni mechi rahisi kuliko mechi zote za awali ilizocheza Stars.
Wito wangu ni kuwa endapo Stars itafungwa na Uganda basi Rais wa TFF ajiuzulu kwa lazima kwani hataweza kufanya lolote la maana siku za usoni!
Michezo haina itikadi
Niwe tu mkweli kwa mechi yetu na Uganda hata kama tutamtumia kocha wa Lipuli ya Iringa lazima tutashinda, hii ni mechi rahisi kuliko mechi zote za awali ilizocheza Stars.
Wito wangu ni kuwa endapo Stars itafungwa na Uganda basi Rais wa TFF ajiuzulu kwa lazima kwani hataweza kufanya lolote la maana siku za usoni!
Michezo haina itikadi