Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Mpira sio ramri chonganishi za waganga wa kienyeji, bali mpira ni sayansi iliyosheheni uzakendo wa kweli hasa kwa wachezaji wenyewe pindi mashindano yanapotokea.
Yaani taifa stars ili washinde lazima wabustiwe?. Huu sio uzalendo wa kweli.
Ni bora watumie mbinu zote za kisayansi alafu washindwe ili tuweze kubaini mapungufu waliyonayo wachezaji .
Asipo kuwepo makonda kwani timu haiwezi kushinda????. Huu sio uzalendo kabisa kwa vijana wetu.
Kwa mfano makonda aje misri alafu taifa stars wafungwe si itakuwa ni aibu kabisa kwake na kwa taifa .
Siwaombei wafungwe taifa stars bali najiuliza ili wafunge kwani ni lazima makonda awepo uwanjani??????????
Yaani taifa stars ili washinde lazima wabustiwe?. Huu sio uzalendo wa kweli.
Ni bora watumie mbinu zote za kisayansi alafu washindwe ili tuweze kubaini mapungufu waliyonayo wachezaji .
Asipo kuwepo makonda kwani timu haiwezi kushinda????. Huu sio uzalendo kabisa kwa vijana wetu.
Kwa mfano makonda aje misri alafu taifa stars wafungwe si itakuwa ni aibu kabisa kwake na kwa taifa .
Siwaombei wafungwe taifa stars bali najiuliza ili wafunge kwani ni lazima makonda awepo uwanjani??????????