Taifa Stars imejaa mabeki kama tunaenda kutafuta sare kila mechi

Taifa Stars imejaa mabeki kama tunaenda kutafuta sare kila mechi

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,022
Reaction score
3,919
Katika timu sijawai kuelewa selection ya kikosi basi ni hiii.timu imejaa wachezaji wa bench tu

Timu mbele selection ya kikosi zero, Kibabage na Msindo ni mawinga.? Ligi yote tumekosa mawinga wa pembeni kweli tunategemea Kibabage na Msindo ndio wakatengeneze nafasi kwa washambuliaji?

Halafu wanaanza kabisaaaaaaa

Kuna mawinga kibao lakini kwakuwa hawapo Simba na Yanga basi wanafumbiwa macho.

Kuna huyu dogo Bakar Seleman wa Coastal, Nado pale Azam hata maji mengi Singida bila kumsahau Chasambi.!

Sitaki kuamini kama Msindo ni bora kuliko Chasambi katika upande wa winga ya kulia au kushoto

Kocha aache kutudanganya mpira ni mchezo wa hadharani kila mtu anaona kinachofanyika.

Naamini bado Samata ni bora kulilo Waziri na Mzize
 
Katika timu sijawai kuelewa selection ya kikosi basi ni hiii.timu imejaa wachezaji wa bench tu

Timu mbele selection ya kikosi zero, Kibabage na Msindo ni mawinga.? Ligi yote tumekosa mawinga wa pembeni kweli tunategemea Kibabage na Msindo ndio wakatengeneze nafasi kwa washambuliaji?

Halafu wanaanza kabisaaaaaaa

Kuna mawinga kibao lakini kwakuwa hawapo Simba na Yanga basi wanafumbiwa macho.

Kuna huyu dogo Bakar Seleman wa Coastal, Nado pale Azam hata maji mengi Singida bila kumsahau Chasambi.!

Sitaki kuamini kama Msindo ni bora kuliko Chasambi katika upande wa winga ya kulia au kushoto

Kocha aache kutudanganya mpira ni mchezo wa hadharani kila mtu anaona kinachofanyika.

Naamini bado Samata ni bora kulilo Waziri na Mzize
Tabu ipo kwa makocha muzeye.
 
A bitter truth, kwa ujinga anaoufanya kocha, nakuhakikishia tukifuzu Afcon 2025, nitakunya kutoka hapa nilipo mpaka Vigwazi tena kwa kuunganisha.
Samata & Msuva bado ni watu mhimu sana kwenye timu yetu ya Taifa
Kwa nilicho kiona kwenye ule mchezo uko sahihi
 
A bitter truth, kwa ujinga anaoufanya kocha, nakuhakikishia tukifuzu Afcon 2025, nitakunya kutoka hapa nilipo mpaka Vigwazi tena kwa kuunganisha.
Samata & Msuva bado ni watu mhimu sana kwenye timu yetu ya Taifa
Acheni kukariri.....HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA.
 
Back
Top Bottom