1. Tuliingia afcon baada ya kushika nafasi ya pili chupuchupu tukose nafasi , mpaka katimu kama lesotho kalitufunga shauri ya maandalizi duni na programu dhaifu ya tff
2.Wachezaji bado hawajapata uzoefu wa kutosha kwenye mashindano makubwa na kucheza ligi kubwa ikiwamo stamina ,technique
Yule mfungaji wa Kenya anacheza girona ya la liga,
Senegal na algeria wote ulaya
3.Ratiba ya ligi ya tff ni mbovu hakuna muda wa mapumziko kwa wachezaji.
4.Pengo la Morris lillishindwa kuzibika.
5.Timu haikukaa kambini muda wa kutosha na kutengeneza maelewano, wakati ligi ya Tanzania inaendelea Kenya walikuwa kambini ufaransa ( ingawa nao sioni wakiwa na nafasi ya kwenda raundi ya pili)
6.Timu haikupata mechi za majaribio ya kutosha .
7. Tff haijafanya kazi yoyote kuwatafuta na kuwashawishi wanasoka waliokuwa ulaya wenye asili ya Tanzania ambao tumekuwa tukiwasoma mara kwa mara wakitamani kuchezea tanzania, nchi za afrika magharibi wanafanya hivyo.
8. Vilabu vikubwa havikuzi wachezaji wazawa wenye vipaji Vinategemea wachezaji wa nje
9.Timu ilicheza kwa presha na Woga Sababu ilikuwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi kushiriki afcon.
10. Tff haikuwa na mkakati wa ushindi kama kipindi cha kocha akiwa Marcio Maximo.
2.Wachezaji bado hawajapata uzoefu wa kutosha kwenye mashindano makubwa na kucheza ligi kubwa ikiwamo stamina ,technique
Yule mfungaji wa Kenya anacheza girona ya la liga,
Senegal na algeria wote ulaya
3.Ratiba ya ligi ya tff ni mbovu hakuna muda wa mapumziko kwa wachezaji.
4.Pengo la Morris lillishindwa kuzibika.
5.Timu haikukaa kambini muda wa kutosha na kutengeneza maelewano, wakati ligi ya Tanzania inaendelea Kenya walikuwa kambini ufaransa ( ingawa nao sioni wakiwa na nafasi ya kwenda raundi ya pili)
6.Timu haikupata mechi za majaribio ya kutosha .
7. Tff haijafanya kazi yoyote kuwatafuta na kuwashawishi wanasoka waliokuwa ulaya wenye asili ya Tanzania ambao tumekuwa tukiwasoma mara kwa mara wakitamani kuchezea tanzania, nchi za afrika magharibi wanafanya hivyo.
8. Vilabu vikubwa havikuzi wachezaji wazawa wenye vipaji Vinategemea wachezaji wa nje
9.Timu ilicheza kwa presha na Woga Sababu ilikuwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi kushiriki afcon.
10. Tff haikuwa na mkakati wa ushindi kama kipindi cha kocha akiwa Marcio Maximo.