Malick M. Malick
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 658
- 312
Nina matumaini makubwa sana wa Timu ya Taifa kushinda mchezo wa Uganda na kwenda Cameroon 2019
Timu Yetu ya Taifa imekua na tabia moja ikishinda mchezo mmoja, mara nyingi mechi inayofuata wanafanya vibaya Bila kujali mchezo huo unachezwa wapi
Nakumbuka kipindi cha Maximo tuliifunga Bukinafaso kwao goli moja, ikawa imebaki mechi moja nyumbani ili tuweze kufuzu kama best looser
Watanzania na timu tulijiandaa sana na tulilewa sifa sana baada ya kuifunga Bukinafaso kwao, tukawa tunacheza na Msumbiji Taifa
Dakika ya mwanzo tukafungwa goli na Tikotiko la mapema, goli halikurudi na safari ikaishia hapo.
Taifa Stars imeshawai kuifunga Tunisia 3 Katika uwanja wa Taifa, ila mechi iliyofuata tukafanya vibaya..
Mechi ya jana na Lethoto ilifika sehemu wachezaji wetu wakazoea mchezo wakawa hawakabi tena Mfano lile goli tulilofungwa watu walijaa golini Bila kutimiza majukumu yao
Mwisho tukafungwa goli rahisi wachezaji watambue wanatakiwa kuwa makini dakika zote tisini sio kuzoea mchezo, Timu za kiafrica zina hili tatizo.
TIMU YA TAIFA INAFUZU KWENDA CAMEROON, ila tukifika huko Cameroon tusipokua makini tutapata Tabu sana
Hivi inawezekanaje Madagascar na Mauritania wanafuzu Alafu sisi tushindwe, vijana wetu lazima wajitume
Timu Yetu ya Taifa imekua na tabia moja ikishinda mchezo mmoja, mara nyingi mechi inayofuata wanafanya vibaya Bila kujali mchezo huo unachezwa wapi
Nakumbuka kipindi cha Maximo tuliifunga Bukinafaso kwao goli moja, ikawa imebaki mechi moja nyumbani ili tuweze kufuzu kama best looser
Watanzania na timu tulijiandaa sana na tulilewa sifa sana baada ya kuifunga Bukinafaso kwao, tukawa tunacheza na Msumbiji Taifa
Dakika ya mwanzo tukafungwa goli na Tikotiko la mapema, goli halikurudi na safari ikaishia hapo.
Taifa Stars imeshawai kuifunga Tunisia 3 Katika uwanja wa Taifa, ila mechi iliyofuata tukafanya vibaya..
Mechi ya jana na Lethoto ilifika sehemu wachezaji wetu wakazoea mchezo wakawa hawakabi tena Mfano lile goli tulilofungwa watu walijaa golini Bila kutimiza majukumu yao
Mwisho tukafungwa goli rahisi wachezaji watambue wanatakiwa kuwa makini dakika zote tisini sio kuzoea mchezo, Timu za kiafrica zina hili tatizo.
TIMU YA TAIFA INAFUZU KWENDA CAMEROON, ila tukifika huko Cameroon tusipokua makini tutapata Tabu sana
Hivi inawezekanaje Madagascar na Mauritania wanafuzu Alafu sisi tushindwe, vijana wetu lazima wajitume