Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Kulikua hakuna haja ya kujaza wachezaji wa timu za dar kwenye first eleven yetu..kuna wachezaji wengi wanaperform vizuri kwenye league ila hawapati namba kwenye timu ya taifa kwa sababu zisizojulikana.