Taifa Stars kucheza na Niger Juni 18, 2023

Taifa Stars kucheza na Niger Juni 18, 2023

Umkonto

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2018
Posts
2,652
Reaction score
4,593
Sijui mimi ndio sifuatilii au la. Ila naona promo ya hii mechi ipo chini sana. Nasikia Taifa stars watacheza na Niger tarehe 18/06/2023. Je, ni kweli?

FD5MndcXoAEv-TF.jpg


Kama ni kweli, tunawatakia maandalizi mema ingawa kuna watu walikuwa wanalalamika kikosi hakijatangazwa, lakini siyo mbaya wameamua kufanya sapraizi na mwisho wa siku Stars itapata ushindi.

Viva Stars.
 
Sijui ipo stage gani au inashiriki mashindano gani lkn ikifanya vzr gafla upepo utabadilika wanasiasa wote wataanza kujipa majukumu, TFF wataanza yao, sijui kapu la mama, sijui DP(ujombani) watatoa 2M kwa kila goli
 
Tatizo hii timu ikipewa promo tuu inaharibu, bora mambo yafanyike kimya kimya
Issue siyo promo, issue ni hiyo promo anafanya nani na inafanyikaje. Njia waliyotumia safari hii, kesho uwanja utakuwa mtupu wakati wangeweza kupata watu wa kutosha bila kuwatumia wanasiasa.
 
Sijui mimi ndio sifuatilii au la. Ila naona promo ya hii mechi ipo chini sana. Nasikia Taifa stars watacheza na Niger tarehe 18/06/2023. Je, ni kweli?

View attachment 2659318

Kama ni kweli, tunawatakia maandalizi mema ingawa kuna watu walikuwa wanalalamika kikosi hakijatangazwa, lakini siyo mbaya wameamua kufanya sapraizi na mwisho wa siku Stars itapata ushindi.

Viva Stars.

Wafungwe tu, nchi ina hela lakini haitaki kuwekeza kwenye michezo inangoja kuinuliwa na Simba na Yanga
 
Sijui ipo stage gani au inashiriki mashindano gani lkn ikifanya vzr gafla upepo utabadilika wanasiasa wote wataanza kujipa majukumu, TFF wataanza yao, sijui kapu la mama, sijui DP(ujombani) watatoa 2M kwa kila goli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha-ha
 
Kuna vitu viwili nakosa ujasiri wa kufuatilia na mpaka sasa hata sijui nini kinaendelea kwao
1. Matangazo ya TBC

2. Taifa stars ikicheza mechi
 
Back
Top Bottom