Taifa Stars Kuirarua Harambee Stars Nyumbani

spencer

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
3,599
Reaction score
3,226
Kuna kitu cha kujivunia linapokuja suala la Penalty.
Goli kipa wa Tanzania anaaminika sana Penalty.

Poleni sana
 
Taifa Stars
Imeifunga Kenya Kwa Penati
 
Tanzania 4 Kenya 1
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imesonga mbele baada ya kuitoa Harambee Stars kwa penalti 4-1 katika mchezo wa marudiano kusaka nafasi ya kufuzu Chan, uwanjani Moi Kasarani #MwananchiUpdates
 
Kuna kitu cha kujivunia linapokuja suala la Penalty.
Goli kipa wa Tanzania anaaminika sana Penalty.

Poleni sana
I knew where TZ will corner them, and later have fixed them.

Poleni Sana Wakenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…