Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Saa 10 kwa tzmechi saangapi?
Taifa stars ni kibonde ata hawazaminiki usiwaamin utalia, respect mkuu ulituwakilisha vyemawale taifa stars wala chipsi washinde wapi , mchezo wao nimeushabikia mpaka nikachoka ,nikikumbuka mechi ya mwisho v kenya , nlifika mapema , popcorn mkononi, jamaa waliniabisha kweli aisee wanafungwa home soil...
π€£π€£ Mtani mi ni Mtanzania Og. Niko Tanzania bila kujali matokeo yatakuwaje.Mtani Shadeeya mkeka wako leo umeweka wapi kati ya Staaz na ze kreni ya Ugandaπ€£π€£π€£
Hawa vijana wanachekesha, wanaua nchi yao
Vip mkuu Msuva katupia goli la kideo unajisikiaje uko ulikoTukutane baada ya mechi
Sis Kama timu Uganda tumejipanga vyema kuhakikisha tunashinda hii mechi yetu.
Viva Uganda
Timu sio kabila una haki ya kushangilia kile unachokipenda KATAA UTUMWA
Mshomire upo????Tukutane baada ya mechi
Sis Kama timu Uganda tumejipanga vyema kuhakikisha tunashinda hii mechi yetu.
Viva Uganda
Timu sio kabila una haki ya kushangilia kile unachokipenda KATAA UTUMWA
Huyu jamΓ a kila thread anayofungua hua inaenda kinyumenyume sio wa kumzingatia sana.Vip mkuu Msuva katupia goli la kideo unajisikiaje uko uliko
Ifike mahali Moderators wawe wanafuta hizi tabiri hasi za wanywa gongo kama huyu. Mnaudhi na mnakera sana, why negativity muda wote?Tukutane baada ya mechi
Sis Kama timu Uganda tumejipanga vyema kuhakikisha tunashinda hii mechi yetu.
Viva Uganda
Timu sio kabila una haki ya kushangilia kile unachokipenda KATAA UTUMWA
Bongo bahat mbaya usinilazimishe kupenda unachokipendaAibu naona mimi..
Hebu tuwe na utu kidogo na ulipozaliwa..
Ww utabaki kuwa mtanzania tuu na hilo li ndui lako ni kovu la maisha hata ukihamia Japan..
Wewe ni mbongo tuu hata ubong'oe hahahahaa π π πBongo bahat mbaya usinilazimishe kupenda unachokipenda
Taratibu za kujifuta uraia zikoje nchi mbovu Kama niniWewe ni mbongo tuu hata ubong'oe hahahahaa π π π
Kwani ww hupendi nini tuanzie hapo ili tuone huko unakokwenda kama hakitakuwepo..Taratibu za kujifuta uraia zikoje nchi mbovu Kama nini