poppah
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 630
- 548
1.Ihenacho-Man City na ndio mfungaji wa goli
2.Mikeli Obi -Chelsea amepiga mpira mwingi wenye akili lakini haukuzaa matunda
3.Ahmed Mussa-Leicester City kaonekana lakini sio kivile ila msaada wake umeonekana
4.Victor Moses-Chelsea huyu mmhhhhh sijamuelewa kama mipira kalishwa kukaba ndio hajui bora hata Kichuya aliebanwa leo dk zote hajaonekana ila sio huyu Moses
5.Ighalo-Watford huyu jamaa kapiga mpira wa ajabu mno lakini nafasi yake kulikuwa na kisiki cha simba, pale Mohamedi Hussein Tshabalala amemzuia vyema tu hajaweza kuleta madhara mpaka anatoka na kuingiza mwingine
Tumefungwa ila mpira tumecheza japo ulikuwa wa kujilinda kuliko kushambulia, tushukuru kufungwa 1 maana 7 tumechoka aaghh!!!!
2.Mikeli Obi -Chelsea amepiga mpira mwingi wenye akili lakini haukuzaa matunda
3.Ahmed Mussa-Leicester City kaonekana lakini sio kivile ila msaada wake umeonekana
4.Victor Moses-Chelsea huyu mmhhhhh sijamuelewa kama mipira kalishwa kukaba ndio hajui bora hata Kichuya aliebanwa leo dk zote hajaonekana ila sio huyu Moses
5.Ighalo-Watford huyu jamaa kapiga mpira wa ajabu mno lakini nafasi yake kulikuwa na kisiki cha simba, pale Mohamedi Hussein Tshabalala amemzuia vyema tu hajaweza kuleta madhara mpaka anatoka na kuingiza mwingine
Tumefungwa ila mpira tumecheza japo ulikuwa wa kujilinda kuliko kushambulia, tushukuru kufungwa 1 maana 7 tumechoka aaghh!!!!