hili group ni Uganda vs vibonde.Uganda the cranes wamefuza fainali zijazo za AFCON kwa kuifunga Cape Verde 1:0.
Hivyo Cape Verde wanabakia na point 4 na endapo wataifunga Lesotho mechi yao ya mwisho watafikisha point 7.
Taifa stars ikishinda kesho itakuwa na point 8 ambazo Cape Verde hawezi kuzifikia. Matokeo yakiwa tofauti tutalazimika kupambana kwa mbinde na Uganda mwakani ili kufuzu. Hata hivyo Uganda wapo vizuri sana, tupambane kiume kesho. Vijana wetu wafanye kweli.
Hongera Uganda, Tukaze daluga Taifa stars. Tunaweza kukumbusha historia ya mwaka 1980.
Msimamo ulivyo sasa
1. Uganda. 13
2. Taifa stars 5
3. Cape Verde. 4
4. Lesotho 2
Tanzania siamini ni kama mwanafunzi wa kike. Wakati unahangaika kutafuta ada anakwambia ana mimba. [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Nafikiri hupo sahihi, kuna maisha nje ya siasa. Kila kitu kisijumuishwe kwenye siasa. Kuna nchi zina utawala mbaya ajabu, vita kila siku lakini michezo wapo vizuri. Hawa jirani zetu wenyewe wanae M7. Michezo isiingizwe kwenye siasatz ya JPM haiwezi shinda kitu,tena ni bora watoke mapema kuliko kuja kutupa aibu huko mbeleni
ujinga huo.Itakuwa hivi wakuu wangu, Taifa stars atakufa kwa Lesotho afu droo na Uganda, Cape Verde atampiga Lesotho na kusonga mbele na point 7 ova! Samahani kwa niliowakwaza ila ukweli ndiyo huo
Mkuu huu ni ukweli mchungu, but I have apologized in advanceujinga huo.