Yajayo hayafurahishiItakuwa hivi wakuu wangu, Taifa stars atakufa kwa Lesotho afu droo na Uganda, Cape Verde atampiga Lesotho na kusonga mbele na point 7 ova! Samahani kwa niliowakwaza ila ukweli ndiyo huo
dah! Kausha bhana. bora tujipe matumaini tu tutashinda.Mkuu huu ni ukweli mchungu, but I have apologized in advance
Si ajabu familia yako imekutenga kwa sababu ya majungu yako, roho mbaya na wivu usio na sababutz ya JPM haiwezi shinda kitu,tena ni bora watoke mapema kuliko kuja kutupa aibu huko mbeleni
Hahahaha jamaa we fala sana hahahaTanzania siiamini ni kama mwanafunzi wa kike. Wakati unahangaika kutafuta ada anakwambia ana mimba. [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Hiyo mimba kapewa na mwalimu wakeTanzania siiamini ni kama mwanafunzi wa kike. Wakati unahangaika kutafuta ada anakwambia ana mimba. [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Kama kweli vileTanzania siiamini ni kama mwanafunzi wa kike. Wakati unahangaika kutafuta ada anakwambia ana mimba
Uganda ipo vizur kweli. Imeifunga Cape verde nje ndani na kuvuna point 6, imeifunga Lesotho nje ndani na kuvuna point 6. Hii ni perfomance ambayo taifa stars haijawah kuwa nayo tangu tupate uhuru.Mkuu stars haijafungwa na Uganda. Tumecheza nao mechi moja kule kwao na iliisha kwa sare. Tunawasubiri Dar. Stars ndiyo timu pekee kwenye group ambayo haijafungwa na Uganda.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji2297][emoji2297]Tanzania siiamini ni kama mwanafunzi wa kike. Wakati unahangaika kutafuta ada anakwambia ana mimba. [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Wapi huko?Tutakiane Kheri, tutakiane ushindi, wish tunashinda ushindi mkubwa.
Hii timu inakeraaaa. Yaani kama vile tunapeleka genge la mashoga kucheza mpira.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji2297][emoji2297]
Tangu watu wameanza amsha amsha za taifa star dhidi ya Lesotho nilikuwa nawaangalia tu, nilijua kbs we can't make it.Hii timu inakeraaaa. Yaani kama vile tunapeleka genge la mashoga kucheza mpira.
Tangu watu wameanza amsha amsha za taifa star dhidi ya Lesotho nilikuwa nawaangalia tu, nilijua kbs we can't make it.
Na gundu lilianza mapema baada ya baba yule kutoa vitisho
Wakuu tafadhalini rudieni kusoma hapa......aje Mganda tutoe droo kwisha kazi. Naombeni radhi tena.Itakuwa hivi wakuu wangu, Taifa stars atakufa kwa Lesotho afu droo na Uganda, Cape Verde atampiga Lesotho na kusonga mbele na point 7 ova! Samahani kwa niliowakwaza ila ukweli ndiyo huo
Mie sitaki pressure bana, Yanga inipe pressure na taifa star nayo.....nimegoma aisee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sema kweli mimi nilipokuwa naona tunakoswakoswa nilikuwa nasikia raha maana tuna ujinga mwingi kuliko kawaida.