Taifa stars rudini haraka AFCON tuendelee na ligi yetu

Taifa stars rudini haraka AFCON tuendelee na ligi yetu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kocha mzungu hakuwa mjinga kumuacha nje Kibu Denis kwenye mchezo wa ufunguzi. Baada ya mgunda na Morocco kuachiwa jahazi Kibu Denis akapangwa kikosi Cha kwanza kabisa dhidi ya Zambia. Ona alikosa clear chances nyingi sana akiwa yeye na golikipa.

Kazi kwisha huko, rudini haraka tuendelee na mambo yetu tuliyoyazoea.
 
Well said.
Shida ya makocha wazawa iko hapo, hawaangalii uwezo na plan ya mchezo kutokana na uwezo wa wachezaji bali wanachowaza ni kubalaance wachezaji wa Yanga, Simba, Azam wako wangapi dimbani.
 
Kocha hajui mechi malengo yake ni yapi na jinsi gani ya kufikia hayo malengo.
Tayari umepata goli la kuongoza, baada ya hapo malengo yako ni yapi , kuonyesha uwezo wa pasi a u nia ni kuongeza mabao.
Mchezaji wa upinzani katolewa k wa kadi nyekundu, hivyo wanacheza pungufu, nini mpango wa mchezo wako, kutumia udhaifu wa mpinzani kucheza pungufu, , kuwa chosha ili uweze kuongeza mabao mengi zaidi au kufuata mchezo wao na kuwapa fursa ya kupunguza uchovu wao na kukuadhibu, kama tulivyo adhibiwa jana na Zambia.umebakisha dakika 5 au 10 mpira kuisha, unaongoza moja bila , nini mpango wa mchezo wenu. mnacheza tu kama wehu, Mungu atasaidia .
 
HATUNA TIMU YA USHINDANI KIMATAIFA

Acheni Lomoni
 
Kocha hajui mechi malengo yake ni yapi na jinsi gani ya kufikia hayo malengo.
Tayari umepata goli la kuongoza, baada ya hapo malengo yako ni yapi , kuonyesha uwezo wa pasi a u nia ni kuongeza mabao.
Mchezaji wa upinzani katolewa k wa kadi nyekundu, hivyo wanacheza pungufu, nini mpango wa mchezo wako, kutumia udhaifu wa mpinzani kucheza pungufu, , kuwa chosha ili uweze kuongeza mabao mengi zaidi au kufuata mchezo wao na kuwapa fursa ya kupunguza uchovu wao na kukuadhibu, kama tulivyo adhibiwa jana na Zambia.umebakisha dakika 5 au 10 mpira kuisha, unaongoza moja bila , nini mpango wa mchezo wenu. mnacheza tu kama wehu, Mungu atasaidia .
Kwenye mpira hakuna mungu atasaidia bali ni juhudi ndio zitasaidia.....sasa kazi kwenu je mna juhudi
 
Kocha mzungu hakuwa mjinga kumuacha nje Kibu Denis kwenye mchezo wa ufunguzi. Baada ya mgunda na Morocco kuachiwa jahazi Kibu Denis akapangwa kikosi Cha kwanza kabisa dhidi ya Zambia. Ona alikosa clear chances nyingi sana akiwa yeye na golikipa.

Kazi kwisha huko, rudini haraka tuendelee na mambo yetu tuliyoyazoea.
Hawa makocha walipanga kikosi kwa mihemko, wakachukua kelele za watu mitandaoni wakapanga kikosi.
 
Kocha hajui mechi malengo yake ni yapi na jinsi gani ya kufikia hayo malengo.
Tayari umepata goli la kuongoza, baada ya hapo malengo yako ni yapi , kuonyesha uwezo wa pasi a u nia ni kuongeza mabao.
Mchezaji wa upinzani katolewa k wa kadi nyekundu, hivyo wanacheza pungufu, nini mpango wa mchezo wako, kutumia udhaifu wa mpinzani kucheza pungufu, , kuwa chosha ili uweze kuongeza mabao mengi zaidi au kufuata mchezo wao na kuwapa fursa ya kupunguza uchovu wao na kukuadhibu, kama tulivyo adhibiwa jana na Zambia.umebakisha dakika 5 au 10 mpira kuisha, unaongoza moja bila , nini mpango wa mchezo wenu. mnacheza tu kama wehu, Mungu atasaidia .
Kuwatoa akina Himidi Mao na Samata kulikuwa kunalenga nini? kuzuia zaidi au kufunga zaidi?
 
Back
Top Bottom