Taifa stars : Tatizo kocha , wachezaji, TFF au Serikali

Taifa stars : Tatizo kocha , wachezaji, TFF au Serikali

mr mkiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
5,588
Reaction score
11,668
Tujadili kwa manufaa ya Taifa.
IMG_20190625_090307.jpeg
 
Anzia wizara husika na sera yao kuhusu michezo,chama cha soka chenyewe ,

Maandalizi mabovu kama ulivyo uongozi wa soka nchini,

Wanasiasa kuingilia timu ili kupata umaarufu kisiasa haya yote yamechangia sana timu yetu kufanya vibaya.
 
Back
Top Bottom