Taifa stars tunafungwa bao 3 nk..nikopale kwa mangi

Taifa stars tunafungwa bao 3 nk..nikopale kwa mangi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Taarifa za hivi punde timu ya taifa ya Tanzani aningia dimban kucheza afcon

Kama mzalendo tunawatakia kila la kheri ingawa mpaka sada hali sinnzuri kitabu kinasoma tunafungwa 2-0/2-1/3-1

Wish u all again alldbest
 
Naunga mkono hoja, kwanza ikifungwa ni CCM hao wamefungwa
Countrywide una lolote la kuongea 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom