Taifa stars vs kenya bila Kelvin John, Mnaenzi wazee.. !!

Taifa stars vs kenya bila Kelvin John, Mnaenzi wazee.. !!

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Mkifungwa msianze kutafuta wachawi.. huyu sijui manager jana anasema eti wachezaji vijana ni watoto.. na leo naona wamemtoa kwenye banch kelvin John..

Huu ni upuuzi na wivu.. Kijana ana 16 mpeni hata dk 10.

Kama nyie mmezeekwa tz na mnaona dogo anafaidi hili ni tatizo lenu.
 
Niliangalia game ya kwanza kwa kweli kevin bado kidogo umbo limekuwa dogo sana ila sio mbaya kama ataenda kupiga tizi na wenzake
 
Mkifungwa msianze kutafuta wachawi.. huyu sijui manager jana anasema eti wachezaji vijana ni watoto.. na leo naona wamemtoa kwenye banch kelvin John..

Huu ni upuuzi na wivu.. Kijana ana 16 mpeni hata dk 10.

Kama nyie mmezeekwa tz na mnaona dogo anafaidi hili ni tatizo lenu.
Acha mahaba ya kijinga dogo akakomae Kwanza na umiseta.
 
Bi dada, haya mambo huwa hayataki hasira. Kuwa tu mpole. Mechi ya leo ni ya kufa na kupona! Ukisikia utu uzima dawa, ndiyo unatakiwa uonekane mechi ya leo. Iwapo tutafuzu, huenda mwalimu akampanga tena. Yeye ndiye mwamuzi wa mwisho.
 
Back
Top Bottom