Taifa stars vs Kongo vipi?

msabato masalia

Senior Member
Joined
Dec 3, 2008
Posts
118
Reaction score
20
Waungwana msaada tutani?Mwenye habari kuhusu chipkizi wa Maksimo na ''Ngwasuma(DRC)''!
 
Walikuwa wameshafungwa moja bila
 
Jamani matokeo vipi kati ya Stars na wakongoman
 
Kufungwa ni kufungwa tu heri hata wangepata moja....2-0 ni aibu tena kwenu duu tunaidi kushuka chat kwa fifa....kazi kumngangania maximo.....anaendesha timu ya taifa kama klabu na bado....
 
Maximo aache uswahili. Awarudishe kundini Haruna 'Boban Maximo' Moshi na Athuman Iddi Chuji
 
Ni Mwalimu gani wa Mpira toka Brazil ameshawahi kuipa mafanikio team ya nchi nyingine zaidi ya nchi yao Brazil? Nashangaa tunamng'ang'ania Maximo! Hana jipya sasa na toka zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…