Taifa Stars Vs Sudan live updates & Results

Taifa Stars Vs Sudan live updates & Results

Wapi hapo mkuu......au mazingaombwe haya...maana nimeikodolea macho posti yako kwa dakika kadhaa sioni kitu. Kuwa muwazi zaidi mkuu....

Dk 25 Taifa Stars 1 Sudan 0
 
Wapi hapo mkuu......au mazingaombwe haya...maana nimeikodolea macho posti yako kwa dakika kadhaa sioni kitu. Kuwa muwazi zaidi mkuu....

Kuwa na subra basi....
 
sasa mkuu hicho cha ndimu ndio unakiona pekeyako au?....nilifikiri utatupa linki na sisi tujidai

Link ni uwanja mkuu wa taifa na sioni peke yangu tupo over 50,000 humu ndani.....
 
Kipindi cha pili dakika ya 14 Taifa Stars 2 Sudan 1
 
Dakika 23 kipindi cha pili Taifa Stars 3 Sudan 1
 
Ongezeni maombi safari ya kwenda Ivory Coast kwenye fainali za kombe la mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani inanukia.
 
Ebwana Masatu, yaani hapa nipo kwenye computer yangu nikikusubilia wewe unipe updates, japo baridi. Nitafurai sana kama mambo yataenda hivivi

Poa mkulu nitakuwa nakurushia updates, yaani hapa kuna "feel good factor" kubwa sana watu wameweweseka watoto wanakanyaga ball kama Manu United
 
Poa mkulu nitakuwa nakurushia updates, yaani hapa kuna "feel good factor" kubwa sana watu wameweweseka watoto wanakanyaga ball kama Manu United

Good commentary mkuu
Tuko pamoja mpaka kipyeeeeeeeeeeeeeeee dk 90
 
Dakika 23 kipindi cha pili Taifa Stars 3 Sudan 1

Mkuu ikiwezekana tupe na majina ya wachezaji waliofunga hasa wa wachezaji wetu. Na pia utupe tasimini ya mchezo, na je tukikupa rungu la kuongea na Maximo, unadhani utamshauri aendelee kuinoa stars maana mambo yanabadilika yanaanza kuwa mazuri.
 
Mpira umekwisha! 3-1 refa katubania sana kakataa goli 2 zetu ilikuwa tuwafunge 5 wamanga hawa!
 
Magoli ya Stars yamefungwa na Athumani Idd (Chuji) Jerisson Tegete ( Jerry ) na Kigi Makassi, sadly wote ni wachezaji wa Kandambili Yanga lakini poa tu tunashangilia ushindi.....
 
Back
Top Bottom